Kwa sababu za msingi!!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Hivi Tanzania ni Rafiki wa nchi gani za Africa na Nje ya Africa? enzi ya Nyerere tuliona Mozambique,Zambia, Namibia, Ghana, Zimbabwe, Shelisheli, Algeria na Botswana Nje ya Africa, Pakstan, Cuba, Venezuela, China, Urusi hiyo siyo ya sasa,

Na zaidi namaanisha urafiki wa nchi siyo urafiki wa nchi katika biashara!!ila katika tawala za baada ya Nyerere ni meshindwa kuelewa rafiki wa nchi yangu!
 
Hivi urafiki kati ya nchi na nchi unachangiwa na Ushikaji wa Marais wa nchi husika?
Kwa mfano JK na Zuma ni washikaji sana, hivyo nadhani S.A ni marafiki zetu.
Pia J.K na Obama inasemekana ni Washikaji, labda U.S ni marafiki zetu pia.
J.K na Hu Jin Tao ni maswahiba, huyu wa sasa sijui kama Jin Tao amemkutanisha na J.K,,,,:confused2::confused2:

All in all urafiki mkubwa uliopo ni wa Kimaslahi, nadhani hata enzi za Nyerere tulikuwa marafiki na nchi ulizotaja for the sake of something, aidha kutoka kwetu ama kutoka kwao.
 
Rafiki wa tanzania ni visiwa vya shelisheli yule raisi nani sijui aliyesababisha mpk nyama imepanda bei,na lethoto kwa mfalme mswati,mzee wa ......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom