Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,274
- 115,198
Kweli kabisa elimu juu ya ufahamu wa ndoa yenyewe na yaliyopo katika ndoa bado inahitajika kwani kwa miaka ya sasa hivi watu wanaingia kwenye ndoa kwa matarajio ya kukuta vitu fulani ambapo mwisho wa siku wakiingia wanakuta ni kinyume chake hivyo kuzifanya zisiwe zenye kudumu.