madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,453
- 2,849
Inashangaza wataalam wetu Tena wakiongozwa na professor maji ya mto Mara kuharibika sababu ni mavi ya ng'ombe
Kweli wataalam wetu wameamua kutuuza hivi hivi kwa mabeberu hapana tuseme no nakuomba mama ili watu wa Mara wawe na aman na serekali yako nakuomba Kama mtanzania chunguza hili suala kwa makini
Inawezekana waziri kadanganywa na wataalam wake au na yy anahusika kwenye huu udanganyifu .athari ya hili jambo ni kubwa Sana kwa wananchi na mifugo wanao faidi matumizi ya mto Mara
Kwa nijuavyo Mimi kinyesi Cha wanyama pia ni chakula Cha samaki Sasa kwa nn iwe ni sumu?
==
Pia soma Mbunge Kasalali Mageni: Nchi hii haiwezi kula Ripoti ya kupikwa. Tume iliyokwenda Mto Mara ichunguwe
Kweli wataalam wetu wameamua kutuuza hivi hivi kwa mabeberu hapana tuseme no nakuomba mama ili watu wa Mara wawe na aman na serekali yako nakuomba Kama mtanzania chunguza hili suala kwa makini
Inawezekana waziri kadanganywa na wataalam wake au na yy anahusika kwenye huu udanganyifu .athari ya hili jambo ni kubwa Sana kwa wananchi na mifugo wanao faidi matumizi ya mto Mara
Kwa nijuavyo Mimi kinyesi Cha wanyama pia ni chakula Cha samaki Sasa kwa nn iwe ni sumu?
==
Pia soma Mbunge Kasalali Mageni: Nchi hii haiwezi kula Ripoti ya kupikwa. Tume iliyokwenda Mto Mara ichunguwe
Wabunge waikataa ripoti ya Tume ya Mto Mara. Wataka iundwe tume huru
Baada ya kuwasilishwa bungeni leo ripoti ya Uchafuzi wa Mto Mara, wabunge wameikataa na kutaka kuundwe tume huru ya uchunguzi. "Ripoti ya Kamati ya Kitaifa kuhusu Uchafuzi wa Mto Mara ina upotoshaji. Isiwekwe hata kwenye tovuti ya wizara. Hakuna mafuta Ziwa Victoria. Ikiwekwa kwenye tovuti...
www.jamiiforums.com