MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 601
Wadau,
Nimekuwa nikifuatilia habari juu ya kushuka viwango vya mizigo bandari ya Dar ingawa wanasema mapato yamekuwa makubwa sana.
Kwa sisi tunasema kwamba inasababishwa na kushuka kwa uchumi wa china na juzi tumesikia jipya la VAT.
Ukijaribu kulinganisha bandari yetu na za jirani utaona zao ziki steady katika perfomance na Beira inaonekana iki improve siku hadi siku.
Sasa najiuliza ni Tanzania tu ndio tunategemea uchumi wa China na hawa wanaotegemea bandari yetu au kitu gani? Maane tunakosa hata transit cargo !
Sasa hii hali ikiendelea kuna haja ya kujenga huko Bagamoyo ? Labda kama atajenga investor kwa risks zake kwa mtindo wa PPT sawa lkn sidhani kama kuna investor atafanya hivyo kwa trend tuliyonayo.
Nimekuwa nikifuatilia habari juu ya kushuka viwango vya mizigo bandari ya Dar ingawa wanasema mapato yamekuwa makubwa sana.
Kwa sisi tunasema kwamba inasababishwa na kushuka kwa uchumi wa china na juzi tumesikia jipya la VAT.
Ukijaribu kulinganisha bandari yetu na za jirani utaona zao ziki steady katika perfomance na Beira inaonekana iki improve siku hadi siku.
Sasa najiuliza ni Tanzania tu ndio tunategemea uchumi wa China na hawa wanaotegemea bandari yetu au kitu gani? Maane tunakosa hata transit cargo !
Sasa hii hali ikiendelea kuna haja ya kujenga huko Bagamoyo ? Labda kama atajenga investor kwa risks zake kwa mtindo wa PPT sawa lkn sidhani kama kuna investor atafanya hivyo kwa trend tuliyonayo.