Kwa ranks za Polisi, ni kazi gani kubwa zaidi ya u-IGP?

ubuntuX

JF-Expert Member
Aug 18, 2014
1,970
2,184
Jana ilitangazwa kutenguliwa kwa uteuzi wa mkuu wa polisi Tanzania, Ernest Mangu na ikaelezwa kuwa atapangiwa kazi na majukumu mengine.

Kwa mtu aliyeshika nafasi ya IGP hii ndio nafasi ya juu kabisa ndani ya jeshi la polisi, hivyo Kumtoa Mangu hapo inategemewa apangiwe majukumu mapya na ya juu zaidi ya IGP.

Je, ni kazi gani ndani na nje ya jeshi la polisi inaendana na mkulu huyu aliyepumzishwa huku akiwa bado ana nguvu na hali ya kuitumikia taifa?
 
Labda ukurugenzi wa mashtaka but hajasoma sheria,ss akipewa ukuu wa mkoa si ameshuka!labda ubalozi.


Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana
 
Sarakikiya alitolewa kwenye CDF akiwa kijana na akapangiwa majukumu mengine sasa IGP ishindikane nini
 
Hak
Jana ilitangazwa kutenguliwa kwa uteuzi wa mkuu wa polisi Tanzania, Ernest Mangu na ikaelezwa kuwa atapangiwa kazi na majukumu mengine.

Kwa mtu aliyeshika nafasi ya IGP hii ndio nafasi ya juu kabisa ndani ya jeshi la polisi, hivyo Kumtoa Mangu hapo inategemewa apangiwe majukumu mapya na ya juu zaidi ya IGP.

Je, ni kazi gani ndani na nje ya jeshi la polisi inaendana na mkulu huyu aliyepumzishwa huku akiwa bado ana nguvu na hali ya kuitumikia taifa?
Hakuna na kamanda Mangu sasa itabidi astaafu jeshi na rais anaweza kumpa kazi ya kisiasa.
 
Boss Mr swax Swali zuri sana, kumbuka Jeshi la Polisi lipo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani. Pia kuna Wizara ya Ulinzi. Nje ya hapo kuna Ubalozi au Teuzi za Rais.


Jana ilitangazwa kutenguliwa kwa uteuzi wa mkuu wa polisi Tanzania, Ernest Mangu na ikaelezwa kuwa atapangiwa kazi na majukumu mengine.

Kwa mtu aliyeshika nafasi ya IGP hii ndio nafasi ya juu kabisa ndani ya jeshi la polisi, hivyo Kumtoa Mangu hapo inategemewa apangiwe majukumu mapya na ya juu zaidi ya IGP.

Je, ni kazi gani ndani na nje ya jeshi la polisi inaendana na mkulu huyu aliyepumzishwa huku akiwa bado ana nguvu na hali ya kuitumikia taifa?
 
Kwa mfumo wa polisi ulivyo,huyo ni mkubwa kuliko IGP wa sasa,hawezi akaendelea kuvaa uniform na kuripoti kazini.atasubiri kazi nyingine nyumbani kwake mpaka itakapokuja.

Na haitakuwa ndani ya polisi,huko taasisi zingine za serikali.
 
Back
Top Bottom