Kwa Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu kuhusu ulipaji kodi

Mpunilevel

JF-Expert Member
Sep 14, 2015
3,140
1,871
Wakuu viongozi wa Dola, heshima kwenu.
Kuna hili suala Kila siku mnahimiza wananchi kulipa kodi.
Ni jambo jema Sana, kwani kodi ni msingi wa maendeleo kwa serikali bora, serikali inayotumia vizuri mapato ya kodi.
Nimejaribu kifupi kufuatilia maagizo yenu juu ya msisitizo kwa walipa kodi.

Ukiacha mashine za ki electron(Efd) ambazo ni chache mpaka Sasa nchini bado malipo ya serikali yanapotea Sana.

Wengi Vijijini wanapewa Risiti za cash sale ambazo hazina Tin number, ni kosa kubwa la upotevu wa mapato ya serikali.

Nashauri elimu itolewe na mamlaka ya walipa kodi juu ya halali ya skakabadhi halali ya mlipa kodi

Lifanyike zoezi adilifu, la ulipaji kodi kwa serikali kwa nyaraka halali za serikali.
Uandishi una utata, lakini huku vijijini tunapewa cash sale zisizo na Tin number, fanyieni Kazi mchango huu.
Vijini serikali inapigwa Sana through cash sale
 
Wakuu viongozi wa Dola, heshima kwenu.
Kuna hili suala Kila siku mnahimiza wananchi kulipa kodi.
Ni jambo jema Sana, kwani kodi ni msingi wa maendeleo kwa serikali bora, serikali inayotumia vizuri mapato ya kodi.
Nimejaribu kifupi kufuatilia maagizo yenu juu ya msisitizo kwa walipa kodi.

Ukiacha mashine za ki electron(Efd) ambazo ni chache mpaka Sasa nchini bado malipo ya serikali yanapotea Sana.

Wengi Vijijini wanapewa Risiti za cash sale ambazo hazina Tin number, ni kosa kubwa la upotevu wa mapato ya serikali.

Nashauri elimu itolewe na mamlaka ya walipa kodi juu ya halali ya skakabadhi halali ya mlipa kodi

Lifanyike zoezi adilifu, la ulipaji kodi kwa serikali kwa nyaraka halali za serikali.
Uandishi una utata, lakini huku vijijini tunapewa cash sale zisizo na Tin number, fanyieni Kazi mchango huu.
Vijini serikali inapigwa Sana through cash sale
Swali machinga wana EFD machine?
 
Sasa hivi serikali isitoe leseni au ku renew leseni kwa Mtu Kama Hana efd na kwenye milango ya stand au vyoo vya kulipia waweke zile machine automatic unaweka hela Ndio mlango unakuruhusu kuingia , sio wakatisha ticket kisha print Ndio anakupa mkononi , wanaweza kukupa iliyokwisha kutumika , infact serikali iwaulize walio nunua hizo machine ambazo sio automatic walikuwa na nia gani ??
Na hata mabasi , taxi , bajaja , boda boda wawe wanatoa receipt za efd. Na kuchagiza ktk Suala la usalama kuwepo na pre booking ya vyombo vya usafiri ilikujua na kwenye vituo vya bodaboda,bajaja,taxi kaa sub office ku andika bfulani kapakia abiria yupi na kaenda wapi ili kuwalinda abiria na madereva wa hivi vyombo
 
Wakuu viongozi wa Dola, heshima kwenu.
Kuna hili suala Kila siku mnahimiza wananchi kulipa kodi.
Ni jambo jema Sana, kwani kodi ni msingi wa maendeleo kwa serikali bora, serikali inayotumia vizuri mapato ya kodi.
Nimejaribu kifupi kufuatilia maagizo yenu juu ya msisitizo kwa walipa kodi.

Ukiacha mashine za ki electron(Efd) ambazo ni chache mpaka Sasa nchini bado malipo ya serikali yanapotea Sana.

Wengi Vijijini wanapewa Risiti za cash sale ambazo hazina Tin number, ni kosa kubwa la upotevu wa mapato ya serikali.

Nashauri elimu itolewe na mamlaka ya walipa kodi juu ya halali ya skakabadhi halali ya mlipa kodi

Lifanyike zoezi adilifu, la ulipaji kodi kwa serikali kwa nyaraka halali za serikali.
Uandishi una utata, lakini huku vijijini tunapewa cash sale zisizo na Tin number, fanyieni Kazi mchango huu.
Vijini serikali inapigwa Sana through cash sale

Cash sale ikiwa na TIN namba haithibiti chocote labda hizo cash sale ziwe zinachapishwa na TRA ili ziwe na namba maalumu. Uthibiti sahihi ni matumizi ya EFD
 
Kabisa, awamu hii inasisitiza kila kukicha kodi, maji, vyakula, viwanja, madukani, elimu, barabara, magari, nguo, fegi, bia, pipi, kila kitu kodi!
Ila tunashangaa nini?! Kuanzia wacheza filamu kina Wesley Snipes, kina Messi, Mourinho, Neymar, mawaziri wakuu, maraisi na viongozi lukuki hasa kwenye dunia ya kwanza wanashikiliwa bango kuhusu swala hili, ya kaisari tumpe kaisari, ya mungu mungu.
Na huko kulikoendelea hawana lelemama kwa hili, wanadai ni heri hata ukiua kuliko kutokulipa kodi, lazima wakukomalie mpaka uwape serikali zao chao.
Sasa mbona huku kwetu tunamlalamikia JPM bila kuangalia swala hili kwa mapana, sisi tulipe kodi, halafu tuanze harakati zile kodi zirudi kwetu kwa mtindo wa elimu, afya bora, miundo mbinu n.k.
Au?!
 
Sasa hivi serikali isitoe leseni au ku renew leseni kwa Mtu Kama Hana efd na kwenye milango ya stand au vyoo vya kulipia waweke zile machine automatic unaweka hela Ndio mlango unakuruhusu kuingia , sio wakatisha ticket kisha print Ndio anakupa mkononi , wanaweza kukupa iliyokwisha kutumika , infact serikali iwaulize walio nunua hizo machine ambazo sio automatic walikuwa na nia gani ??
Na hata mabasi , taxi , bajaja , boda boda wawe wanatoa receipt za efd. Na kuchagiza ktk Suala la usalama kuwepo na pre booking ya vyombo vya usafiri ilikujua na kwenye vituo vya bodaboda,bajaja,taxi kaa sub office ku andika bfulani kapakia abiria yupi na kaenda wapi ili kuwalinda abiria na madereva wa hivi vyombo
Umesahau na wamachinga na wenyewe wapewe mashine za efd ili twende sawa
 
Uko sahihi sana, bila kodi hakuna maendeleo, watanzania tujifunze kulipa kodi kwa uaminifu ili tukidai huduma za afya, maji moundombinu tunadai kwa hali, hapo hata tukiandamana kwa kutaka kupatiwa hizo haki tutakuwa sahihi sana.
Wabunge wetu wanatakiwa katika majimbo yao kusisitiza ulipaji wa kodi kwa wananchi wao ili wanapodai kuletewa maendeleo iwe kwa hali.
 
Umesahau na wamachinga na wenyewe wapewe mashine za efd ili twende sawa
Tunachotakiwa ni kuanza mahali , naturally Hiyo structure itakuwa na sehemu ndogo ndogo ambazo sasa hivi ni tatizo nazo zitafikiwa tu iwe ni baada ya miaka kadha au miongo , muda Ndio utakao amua . Kama kutetea au kupinga mimba za utotoni , kutetea au kupinga kuzuia mchanga usitoke nazo ni akili hizo hizo.kama ambavyo wengine ni wapinga maendeleo hata Kama barabara inapita mbele ya nyumba yake atasema magari yatakuwa yanapiga kelele au watoto watagongwa . Ndio hivyo tulivyoumbwa .
 
Tunachotakiwa ni kuanza mahali , naturally Hiyo structure itakuwa na sehemu ndogo ndogo ambazo sasa hivi ni tatizo nazo zitafikiwa tu iwe ni baada ya miaka kadha au miongo , muda Ndio utakao amua . Kama kutetea au kupinga mimba za utotoni , kutetea au kupinga kuzuia mchanga usitoke nazo ni akili hizo hizo.kama ambavyo wengine ni wapinga maendeleo hata Kama barabara inapita mbele ya nyumba yake atasema magari yatakuwa yanapiga kelele au watoto watagongwa . Ndio hivyo tulivyoumbwa .
Kama utaratibu ni huo basi , ngoja hili duka nilifunge nikawe machinga aisee, maana kuna jamaa angu kanitonya kuwa kule kwe umachnga sasa hivi kuna pesa balaa kwa siku hakosi faida chini ya elfu arobaini aisee, wakati mm dukani siku zingine naambulia faida buku ten na makodi kibao nalipa ya nn kuendelea na duka
 
Kama utaratibu ni huo basi , ngoja hili duka nilifunge nikawe machinga aisee, maana kuna jamaa angu kanitonya kuwa kule kwe umachnga sasa hivi kuna pesa balaa kwa siku hakosi faida chini ya elfu arobaini aisee, wakati mm dukani siku zingine naambulia faida buku ten na makodi kibao nalipa ya nn kuendelea na duka
Sawa wewe wahi, lakini wenywe uelewa nao wana mipango Yao , na Kama nilivyo eleza hapo juu muda ndio utakao amua Kama wewe umewawahi au wao wamekuwahi , hivyo wahi
 
Sawa wewe wahi, lakini wenywe uelewa nao wana mipango Yao , na Kama nilivyo eleza hapo juu muda ndio utakao amua Kama wewe umewawahi au wao wamekuwahi , hivyo wahi
Kwel maana hii pia nayo ni firsa kwa sasa ya kukwepa kodi
 
Sasa hivi serikali isitoe leseni au ku renew leseni kwa Mtu Kama Hana efd na kwenye milango ya stand au vyoo vya kulipia waweke zile machine automatic unaweka hela Ndio mlango unakuruhusu kuingia , sio wakatisha ticket kisha print Ndio anakupa mkononi , wanaweza kukupa iliyokwisha kutumika , infact serikali iwaulize walio nunua hizo machine ambazo sio automatic walikuwa na nia gani ??
Na hata mabasi , taxi , bajaja , boda boda wawe wanatoa receipt za efd. Na kuchagiza ktk Suala la usalama kuwepo na pre booking ya vyombo vya usafiri ilikujua na kwenye vituo vya bodaboda,bajaja,taxi kaa sub office ku andika bfulani kapakia abiria yupi na kaenda wapi ili kuwalinda abiria na madereva wa hivi vyombo

Matumizi ya EFD yana changamoto zake na gharama zake.
Wakati mwingine, yawezekana kabisa kuwa gharama ya kukusanya kodi ni kubwa kuliko kinachopatikana.
Ulimbukeni, kukariri, fikra duni na vinavyofanana na hivyo hufanya wasiojua kuamini mifumo ya computer 100% na hivyo kupata hasara badala ya faida iliyokusudiwa.
 
Matumizi ya EFD yana changamoto zake na gharama zake.
Wakati mwingine, yawezekana kabisa kuwa gharama ya kukusanya kodi ni kubwa kuliko kinachopatikana.
Ulimbukeni, kukariri, fikra duni na vinavyofanana na hivyo hufanya wasiojua kuamini mifumo ya computer 100% na hivyo kupata hasara badala ya faida iliyokusudiwa.
Ni kweli inachanga Moto zake lakini lakini ktk kupambana dhidi ya changamoto zake Ndio uvumbuzi wa hizo changamoto huja na sio kusema Mimi Leo ni wa chini basi unaikubali tu Hiyo hali, Huo Ndio unapokuwa uduni wa fikra na fikra .
Na unatakiwa uwelewe kuwekeza kwenye vitu Kama hivi na vinginevyo ni kujaribu kupunguza upotevu wa kodi to the minimum , na kusababisha Watu wengi waweze kulipa kodi.
 
Back
Top Bottom