Na sasa tunataka uhuru wetu udikteta basi sasa.Pole pole ashukuru Mungu serikali ilibana vyama vya upinzani vingekuwa viko huru ka enzi za kikwete angepata tabu sana
Na sasa tunataka uhuru wetu udikteta basi sasa.Pole pole ashukuru Mungu serikali ilibana vyama vya upinzani vingekuwa viko huru ka enzi za kikwete angepata tabu sana
Uwanja ndiyo umeshajengwa na unatumika na watanzania na upo ndani ya Tanzania na hamuwezi kutufanya lolote.Wakiuongelea kwa kauli za ovyo tutasema vilevile ili hata wale wanaodanganywa wajue kwamba bado kuna watanzania wana chuki na mambo yanayofanyika ndani ya nchi yetu na yenye manufaa na nchi yetu .CCM narudia tena Uwanja wa Chato usichukue sehemu za kampeni yenu. Wekeni sera mezani na sio kutetea kilichofanyika kwa sababu tayari vimeonekana. Watanzania wanataka kujua wanaelekea wapi baada ya ndege, airports, mabarabara, SGR za uchumi wa kati na ma fly overs.....
Endeleeni kujibu spana tu....Uwanja ndiyo umeshajengwa na unatumika na watanzania na upo ndani ya Tanzania na hamuwezi kutufanya lolote.Wakiuongelea kwa kauli za ovyo tutasema vilevile ili hata wale wanaodanganywa wajue kwamba bado kuna watanzania wana chuki na mambo yanayofanyika ndani ya nchi yetu na yenye manufaa na nchi yetu .
Unawezaje kuwa JF kwa miaka 5 bila kuongeza ufahamu? Unajitangaza kwa yasiyohusika hapa? Sihitaji kujua kabila la mama yako! Ni msukuma, hongera basi!Mambo ya makabila yametoka wapi??? Mbona unaweweseka
Kwa taarifa yako hata mie mama yangu ni msukuma ila sikubaliani na magufuli Kama anaongoza vizuri na Kama yeye ni kiongozi mzuri!
Kinachosababisha tuhoji ni kwa sababu wanadai wamelipa cash na kwa tunaojua hakuna sehemu zenye upigaji kama kwenye manunuzi ya serikali
Alitudanganya! tusimuamini tena!!'Endereeeeeni kutuamini ndg wananchi,ahadi zetu zote tumezitekerezaaaaaa'.View attachment 1580313
Tulia dawa ikuingie. Polepole yupo na ataendelea kuwepo hapo.
Kuna Mkuu wa Mkoa aliondolewa kwenye nafasi kwa kuwa Mkoa wake uliuza vitambulisho vichache!!!!Kaniacha hoi kutetea 20,000 ya vitambulisho vya machinga wakati Raisi mwenyewe kaomba poo kasema si lazima 😂😂😂😂😂😂
Jibu chato....Sasa Kama Polepole anaiharibia CCM si ndio vizuri kwa upinzani, Kimsingi Sasa hivi kila Lissu akiongopa, CCM hawasubiri aendelee kupotosha sasa inamfanya Lissu aonekane Mwongo.
Kuna siku Lissu akiongopa kuwa Uwanja wa ndege Mpanda umejaa majani, matokeo yake meneja wa kiwanja akaonyesha video za Uwanja ukionekana uko vizuri na kuna watalii wanashuka kutoka kwenye ndege.
Lissu ni Mwongomwongo.
Braza Kama bado hujaoa ebu fika mbeya nikupatie dada wa kinyakyusa buuuuuure🤗Uchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa.
CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye hiyo nafasi, kubalini kuwa ni kipindi Cha kutafuta wabobezi waingie kazini si kuruhusu watu kama Polepole kukitetea chama...
Eti kwa vile ni tiss basi inatosha hiko chama kajaza matiss humo badala ya makada wa ccm, wao wanajari maguvu yao, tena maguvu yenyewe kwa vile polisi na jeshi lao, sasa upepo umebadilika, namna kutumia watu wasiojulikana imeshindikana.Hivi CCM imekosa watu wa kufanya uenezi? Mtu hakijui chama, hajakulia ndani ya chama iweje leo apewe kazi ya kukitetea na kukijenga? Sasa huku ni kujenga?
Hebu tuelezee uharibifu wake nasie tuuone hapa.Na changamoto kubwa ni kuwa anahisi anapatia sana kumbe anaharibu sana tena sana.
Hizi ni hela za wananchi.
Ila kuna siku yote haya yatakuwa wazi
Wacha kupanic braza, ukijitigiza sidano itakatia tuliaUchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa.
CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye hiyo nafasi, kubalini kuwa ni kipindi Cha kutafuta wabobezi waingie kazini si kuruhusu watu kama Polepole kukitetea chama...
... muda bado unaruhusu, CCM isione aibu japo kulamba matapishi yao na kuwarudisha watoto wa TOWN, Nape & Makamba jr., maana hamna namna Tena!
😅
👊 ✌✌✌💥
Nilishaacha kumsikiliza polepole siku nyingi. Lazima niitendee haki nafsi yangu. Akili yangu haishibishwi na uropokaji wa dogo huyu mchumia tumbo.Uchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa.
CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye hiyo nafasi, kubalini kuwa ni kipindi Cha kutafuta wabobezi waingie kazini si kuruhusu watu kama Polepole kukitetea chama...
Sura yake tu ni jibu tosha. Muhuni.'Endereeeeeni kutuamini ndg wananchi,ahadi zetu zote tumezitekerezaaaaaa'.View attachment 1580313