Kiukweli ni aibu kwa timu kubwa kama simba kwa na golikipa dhaifu, mwenye kiwango kidogo kuliko! Kama Emmanuel Mseja. Makipa wenye kiwango kama cha Huyu kipa tunao wengi hata katika timu za vijiji hapa nchini!
Kwa aina hii ya udakaji harafu bado yuko simba na anakula mshahara ni dhahiri kuwa kuna watu wanambeba kwa maslahi yao binafsi
Nawasilisha
Kwa aina hii ya udakaji harafu bado yuko simba na anakula mshahara ni dhahiri kuwa kuna watu wanambeba kwa maslahi yao binafsi
Nawasilisha