Kwa Picha: Siku ya Kwanza Ofisini Mhudumu wa Ofisi Afghanistan Mpya

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,156
4,510
"First day in office today for the new Office Assistant in Kabul"!

FB_IMG_16293154692679985.jpg
 
Kwa hiyo marekani baba wa demokrasia kasepa mchana kweupe huku jamaa wakiikanyaga demokrasia live kwa kumkimbiza rais ikulu kwa risasi...waafrika hasa wanaharakati wajifunze marekani sio mtu wa kumshobokea.
Kwa dunia hii US, ni kama maji huwezi ukamkwepa kamwe!!labda akupotezee tu, lakini akuamulie tena kama hizi nchi zetu za kiafrika !!mwaka mmoja tu, ni mrefu mtatafutana!!!
 
Naam, tuendelee kushobokea kura za kwenye mabegi.
Nisaidie kuelewa inakuaje marekani na jeshi lake yupo Afghanistan halafu anaruhusu serikali iliyochaguliwa kidemokrasia kwa kura kuondolewa? Wameruhusu ama wamewasusia nchi watajijua wenyewe?
 
Kwa dunia hii US, ni kama maji huwezi ukamkwepa kamwe!!labda akupotezee tu, lakini akuamulie tena kama hizi nchi zetu za kiafrika !!mwaka mmoja tu, ni mrefu mtatafutana!!!
I see..na kwa Afghanistan unaweza nisaidia ni ipi approach ya usa wamewaruhusu taliban ama wameisusa nchi? Ama wana mkakati kiporo wa siku zijazo?
 
I see..na kwa Afghanistan unaweza nisaidia ni ipi approach ya usa wamewaruhusu taliban ama wameisusa nchi? Ama wana mkakati kiporo wa siku zijazo?

Mkuu ni hivi USA amekaa na jeshi la afghanistan kwa miaka 20. Na wamewatrain vya kutosha so Trump alipoingia akaandaa utaratibu wa kuwatoa majeshi ya USA Afghanistan.

Na ndio hicho kinavhoendelea sasa kwamba waachie nchi wanaweza kuiendesha wenyewe maana majeahi ya Afghanistan ni wengi kuliko Taliban . Ila sasa kilichotokea ni unexpectadly Taliban wamechukua nchi mapema sana
 
Mimi siyo Mmarekani, ndugu. Mimi ni Mtanzania. Ndio maana nikaona niongelee mfumo wetu Watanzania (kura za mabegi). Hayo mengine Wamarekani walioko katika JF watakujibu.
Nisaidie kuelewa inakuaje marekani na jeshi lake yupo Afghanistan halafu anaruhusu serikali iliyochaguliwa kidemokrasia kwa kura kuondolewa? Wameruhusu ama wamewasusia nchi watajijua wenyewe?
 
Nisaidie kuelewa inakuaje marekani na jeshi lake yupo Afghanistan halafu anaruhusu serikali iliyochaguliwa kidemokrasia kwa kura kuondolewa? Wameruhusu ama wamewasusia nchi watajijua wenyewe?
Nahisi ni mtego! Kwanini US wanasaidia kuwaondoa raia na kuwatafutia hifadhi maelfu kwa ma elfu!!? Kwanini haachi uwanja wa ndege!!? Kwanini ameongeza wanajeshi 1000?

Talibani walikuwa wamejichimbia sana kuwapata ilikuwa ngumu sasa wamejitokeza na wanajiachia! Wakianza kupigwa ni mapigo rahisi sana maana waliookuwa wamejificha pameshaonekana, na sasa wanazagaa mitaa ambayo US anaramani zote!
 
I see..na kwa Afghanistan unaweza nisaidia ni ipi approach ya usa wamewaruhusu taliban ama wameisusa nchi? Ama wana mkakati kiporo wa siku zijazo?
Sasa kwa miaka 20, una wajengea uwezo wenye nchi ili waweze kujirinda, lakini bado hawaeleweki unafanya nini?watalibani hawazidi 70, 000!!nyie mna jeshi la watu 200, 000 vifaa vya kisasa lakini, limejaa mamluki tu, na ndio maana US, ameona hata aendelee kukaa hapo miaka 50!!bado akiondoka kinachotokea sasa kitatokea tu.

Ni bora aonekane ameshindwa tu!!labda iwe nchi ya kuhifadhi magaidi tena ambao wataishambulia US, ndio wanaweza kurudi!!japo hata hao talibani kwa sasa lazima wabadilike tu , kwani miaka 20, nao wameishi kwa tabu sana!!
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom