Kwa Picha: Kuna watu watafikiri kuwa ni photoshop

Behaviourist

JF-Expert Member
Apr 8, 2016
39,901
95,401
Ukichinja mmoja familia nzima inashiba nyama na kusaza.
4f31f6e.jpg
2462af3.jpg
ee7377ff1.jpg
200ef2c.jpg
2e0d13.jpg
99894f5d.jpg
0c872718.jpg
77f2c08-1.jpg
6a672c6.jpg
db04b.jpg
c79a6.jpg
 
Siku hz ndio maana rate ya magonjwa kama kansa inakua kubwa sana kwa sababu GENETIC MODIFICATION imekua kubwa ..

Tunajikuta tunatengeneza species ambazo zina accumulation ya toxic materials ..
 
Siku hz ndio maana rate ya magonjwa kama kansa inakua kubwa sana kwa sababu GENETIC MODIFICATION imekua kubwa ..

Tunajikuta tunatengeneza species ambazo zina accumulation ya toxic materials ..
Hao ni Brahma hakuna Genetic modification hapo ni kuku wa toka enzi. Mbegu hapa kwetu unaipata kwa 1.5 kwa pair
 
Siku hz ndio maana rate ya magonjwa kama kansa inakua kubwa sana kwa sababu GENETIC MODIFICATION imekua kubwa ..

Tunajikuta tunatengeneza species ambazo zina accumulation ya toxic materials ..
Hao kuku siyo genetic modified.
 
Back
Top Bottom