Waziri wa Afya Mh. Mponda (Mb) wa kwanza kushoto mwenye suti nyeusi akitembezwa kuangalia huduma za afya katika hospitali kubwa kuliko zote na ya kisasa ya Muhimbili Dar-es-Salaam.
Hapo tunaona Hospitali ya Taifa ilivyofurika na wagonjwa wakiwa wamelala chini kwa kukosa vitanda na wodi za kutosha.
Katika uchaguzi CCM iliahidi kuboresha zaidi huduma na kuongeza huduma za tiba za kisasa zaidi kwa Watanzania. Hapo waziri na timu yake lazima watakuwa wamewasili na magari ya bei mbaya ( mashangingi) huku wagonjwa na watoa huduma za afya kama madaktari, manesi, wafamasia n.k wakiwa na wakati mgumu.
http://api.ning.com/files/6HcaJW81b...D9QTq7ge6IGxDUediD8RdiC9ypWACCceVP/Wodini.jpg