Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Nani ambae hakatwi hizo kodi? Ulitaka huduma zinazotakiwa kutolewa na ujenzi wa miundombinu nani alipie? au serikali itoe wapi pesa? kuna mjomba au baba wa kugharamia hizo huduma na miradi amabayo wewe na mimi tutakuwa wanufaika?Kwako ni ndogo lakini kwangu kubwa, nakatwa Kodi kwenye mshahara, VAT Kodi za majengo na biashara, bado na mafuta pia wakati hao wabunge wengine wamelala tu bungeni, hawakatwi chochote