Kwa nyavu hizi tff inatakiwa kuwa makini

MASTER291

Member
Nov 4, 2017
6
0
Mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya Singida United na mabingwa wa kihistoria klabu ya Yanga umemalizika katika Uwanja wa Namfua kwa timu hizo kutoka sare ya bila kufungana.

Katika mchezo huo uligubikwa na utata dakika ya 54 ya kipindi cha pili baada ya mchezaji wa Singida United, Salum Kipaga kupiga mpira kwa kichwa na kuonekana kuingia ndani ya nyavu za Yanga huku muamuzi kuamuru sio bao kufuatia kuonekana kuwa wavuwake umechanika na mpira huo ulipita nje kabla ya kuingia ndani ya goli.




Nini Maoni Yako Mwana Jamvi
 
Back
Top Bottom