Kwa nini?/ why?

mzawahalisi

JF-Expert Member
Jan 11, 2010
752
237
Habari za leo wanajamii?
Leo nipo mapumziko hivyo sijaenda kazini nimepumzika ndani kwangu. hapa nje kuna wadada wake za watu, jirani yangu kawapa kazi ya udobi kidogo. sasa wanaongea mambo yao huku wanapiga kazi. sasa kunakipande wameimba tena kwa ufasaha mkubwa kimenishtua usingizini. nacho ni cha nyimbo ya almasi uitwao Roho yangu mimi.

"haya maneno walinena wazee wa zamaniiii ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani".

yaani walivyo kiimba utadhani wamefanya rehasle kwa pamoja siku mingi na kwa bashasha la hali ya juu. hapo hapo nakumbuka rafiki yangu mmoja ni dereva na bosi wake ni ke, aliniambia wiki 2 zilizopita kwamba mama huyo anakipenda sana hicho kipande!
na maranyingi nikikatiza mitaani hii nyimbo ipigwapo husikia wakike wakikidakia hiki kipande mara nyingi tu.
Nawauliza wake nyie ni kwanini mnakipenda sana hiki kipande cha mziki? sijawuliza hawa kwani sijawa na mzaoea nao, sitaki za uso.
wanajamii kwa ujumla kwanini hali hii ya kuchukulia mambo makubwa kuwa ni ya kawaida inazidi kushamiri?
karibuni wanajamii kwa mawazo yenu.
 
Just saying: Kama Mzee wetu Madiba na moyo wake wote wa kuwasamehe wale waliomfunga jela miaka 27 alishindwa kumsamehe Winnie kwa kuchapwa na dogo! Sidhani huo wimbo una ukweli wowote.

Dogo Rich Mavoko amekosea, ila nadhani ni umri tu, akikua ataelewa!
 
hicho kipande wanakipenda sana mabinti,,
sijui why?
 
Kuna binti mmoja kila akija ghetto anadai awekewe hiyo nyimbo....ikishaanza kuimba tu analoa kabisa na anadai kiuno kinamuuma!!
 
Just saying: Kama Mzee wetu Madiba na moyo wake wote wa kuwasamehe wale waliomfunga jela miaka 27 alishindwa kumsamehe Winnie kwa kuchapwa na dogo! Sidhani huo wimbo una ukweli wowote.

Dogo Rich Mavoko amekosea, ila nadhani ni umri tu, akikua ataelewa!

Hapana alimpenda sana winnie na hakutaka kumwacha ila ilibidi kwakuwa winnie alikuwa na skendo za mauaji na ukatili kwa waafrika wengine.
Pia chama kilimshinikiza kumuacha winnie asiwe first lady, mengine siri yake mimi na wewe hatujui....
 
***kuchapiwa maana yake ni kitendo cha mke wako kuvua nguo na kumpanulia mapaja mwanaume mwingine ili aingize***
 
Hapana alimpenda sana winnie na hakutaka kumwacha ila ilibidi kwakuwa winnie alikuwa na skendo za mauaji na ukatili kwa waafrika wengine.
Pia chama kilimshinikiza kumuacha winnie asiwe first lady, mengine siri yake mimi na wewe hatujui....

Mhhhhh Kasinde if it was so nina uhakika wasauzi wasingekuwa wanamkubali Winnie aise.

We all know wakati Mzee yupo ndani Winnie alikuwa akimegwa na dogo wa miaka ishirini na kitu...inauma acha! Mavoko either ni shoga au ni utoto unamsumbua, akikua ataacha!!!
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhh Kasinde if it was so nina uhakika wasauzi wasingekuwa wanamkubali Winnie aise.

We all know wakati Mzee yupo ndani Winnie alikuwa akimegwa na dogo wa miaka ishirini na kitu...inauma acha! Mavoko either ni shoga au ni utoto unamsumbua, akikua ataacha!!!

Anyways may be, am not good in politics neither in general studies
Hiyo kitu inauma pande zote so cha muhimu ni kuheshimiana tuu, na uharibifu huwa unanza kwa senior bachelors an retired husbands, usiniulize y.... sina jibu zaidi ya hayo maelezo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom