hope 2
Senior Member
- Apr 28, 2010
- 154
- 7
Hivi karibuni tumeona na kusikia kua TAKUKURU wamekamata watu wengi sehemu mbalimbali kwa kuhusishwa na Rushwa.
Sijaona au kusikia mtu wa chama pinzani katika hizo tuhuma ila kila wakikamatwa ni wana-CCM.
Naomba mnisaidie wana JF;
Je wana-CCM ndio watoa/wapokea rushwa zaidi???
Je kama ndivyo CCM ilivyo, tutafika wapi kiuchumi/kimaendeleo?
Je tutapata viongozi wenye uwezo wa kuongoza au tutapata viongozi MAFISADI wazidi kujilimbikizia?
Je kuna wapinzani ambao wamewahi kukamatwa na TAKUKURU?
Sijaona au kusikia mtu wa chama pinzani katika hizo tuhuma ila kila wakikamatwa ni wana-CCM.
Naomba mnisaidie wana JF;
Je wana-CCM ndio watoa/wapokea rushwa zaidi???
Je kama ndivyo CCM ilivyo, tutafika wapi kiuchumi/kimaendeleo?
Je tutapata viongozi wenye uwezo wa kuongoza au tutapata viongozi MAFISADI wazidi kujilimbikizia?
Je kuna wapinzani ambao wamewahi kukamatwa na TAKUKURU?