Kwa nini Wazungu walivamia Bara la Amerika kabla ya Afrika?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,785
Ingawaje Wazungu waliijua Afrika kwa miaka mingi kabla ya Columbus kugundua Bara la Amerika, lkn Wazungu hawakuja Afrika kwanza mpaka baadaye sana badala yake wakaenda Bara la Amerika (Leo hii USA, Kanada, Mexiko, Argentina, Venezuela, Brazili, Chile n.k.)sasa kwa nini hawakuja Afrika kwanza?
 
Kwasababu ngozi yao ilitaka barid sio africa walibabuka kwa joto na kula vumbi



Swissme
 
Dah ilo swali umeuliza pabaya, tafuta mzeee alafu uliza. awe na umri kama wa marehemu bibi kidude.
 
Lengo lilikuwa kufika india na east asia kiujumla.

Chukua atlas hapo utanielewa kwa jinsi gani ingekuwa ni mbali sana kupitia nchi kavu, ukizingatia usafiri ulikuwa ni mgumu, pia njiani kulikuwa na maadui wengi wa kiutawala kutoka falme na nchi zingine.

Proposal hiyo ya Columbus ilikuwa ni kuzunguka kupitia atlantic ili kutokea upande wa pili (hapa ni baada ya watu kuwa na uelewa wa kwamba dunia ni duara).

Tatizo hapa ilikuwa hakuna ajuaye kuwa kuna bara jingine upande huo, hivyo wali-assume wangefika asia ya mashariki moja kwa moja.

Ila ndo hivyo, baada ya muda mrefu wa safari, wakatia nanga katika bara wasiolijua (america).
Waliwakuta wenyeji, i.e. wahindi wekundu wakawaua kibao. Kiufupi ni kwamba wakatwaa ni kwao. Baada ya feedback kurudi ulaya, na mataifa mengine yakafuata. Hivyo america ikawa ni territory ya watu weupe.

Additionally, kwa nini east asia? - ni kwa sababu kulikuwa na biashara 'iliyochangamka' zaidi ukizingatia kulikuwa falme/mataifa tajiri, civilized yenye maendeleo.

Cha kukumbuka tu, ni kwamba origin ya watu weupe kiujumla ni ulaya. Huko kwingine ni kwa sababu walivamia tu.

Hivyo, kama afrika ilivyofanywa, ndivyo amerika ilifanywa hivyo hivyo.

Nchi za asia ilishindikana kwa sababu tayari wenyeji walikuwa na maendeleo yao binafsi including silaha.
Lakini, bado waliziweza nchi kadhaa kuzitawala, ingawa mwisho wa siku walipinduliwa tena.
Hii ndio maana asia wanajiamini na tamaduni zao.

Kwa hiyo, simply, Amerika ilipatikana by accident. Lakini mwisho wa siku walifanya scrambling na patition kama Afrika.


Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada swali lako hauko sahihi wazungu walianza afrika kwanza ndiyo wakaenda Amerika na Asia

Biashara za waafrika na wazungu zilianza toka kuanguka Kwa roman empire karne ya 4 hapa kila taifa lilitafuta malighafi kivyake mfano Chao jukua alikuwa ni mchina aliyefanya biashara za nje ya China kupitia bahari ya Hindi mwaka 859 karne ya 8

Waarubu walianza kuingia afrika kupitia ukanda wa bahari ya Hindi na kufanya biashara na wenyeji wa mwambao wa bahari ya Hindi ,hii ilikuwa ni karne ya 6 na baadae wakafuatiwa na wareno karne ya 8

Spain walifanya biashara na mataifa ya north afrika kama Morocco Egypt karne ya 5 kipindi cha ngome ya fitamids na hapa Egypt walipitia slavery mode of production ,system ya uzalishaji Mali ambayo ilikuwa hata ulaya kipindi cha roman empire kabla ya kuanguka karne ya 4

Portuguese hawa watu waliingia mapema sana south afrika na wakasettle cape town wakifuatiwa na Dutch 1456s

Wazungu hawakulivamia bara LA america sehemu walizokuwa wanafikia hazikuwa zikikaliwa na watu na red indies wakazi wa america walikuwa ni wachache sana wengi walikuwa ni wavivu !.katika historia hakuna sehemu inayo onyesha resistance Kwa walowezi Kwa wazawa wa america hii ni kutokana kwamba hata neno amerika ni limetajwa na navigator wa kipindi hicho

The discovery of new word by Christopher Columbus ,Christoforo Colombo ,Cristobal colon 1492

Hayo yote ni majina ya navigator cristo katika kuligundua bara LA amerika sasa tukiangalia mwaka lilipogunduliwa hilo bara utaona kwamba afrika ndo bara pekee ambalo wageni walipata kulitembelea Kwa muda mrefu kuliko amerika
 
Hahah,we jamaa historia yako sijui umeipatia wapi,

1.Columbus sio wa kwanza kugundua America bali Vikings ndo walikuwa wakwanza kutokea magharibi kufika bara amerika.

2.Wazungu wameanza kuja africa kitambo sana,Kushakuwa na utawala wa warumi africa especialy north.carthage etc na wazungu walishakuja muda mrefu kabla ya hapo
 
Lengo lilikuwa kufika india na east asia kiujumla.

Chukua atlas hapo utanielewa kwa jinsi gani ingekuwa ni mbali sana kupitia nchi kavu, ukizingatia usafiri ulikuwa ni mgumu, pia njiani kulikuwa na maadui wengi wa kiutawala kutoka falme na nchi zingine.

Proposal hiyo ya Columbus ilikuwa ni kuzunguka kupitia atlantic ili kutokea upande wa pili (hapa ni baada ya watu kuwa na uelewa wa kwamba dunia ni duara).

Tatizo hapa ilikuwa hakuna ajuaye kuwa kuna bara jingine upande huo, hivyo wali-assume wangefika asia ya mashariki moja kwa moja.

Ila ndo hivyo, baada ya muda mrefu wa safari, wakatia nanga katika bara wasiolijua (america).
Waliwakuta wenyeji, i.e. wahindi wekundu wakawaua kibao. Kiufupi ni kwamba wakatwaa ni kwao. Baada ya feedback kurudi ulaya, na mataifa mengine yakafuata. Hivyo america ikawa ni territory ya watu weupe.

Additionally, kwa nini east asia? - ni kwa sababu kulikuwa na biashara 'iliyochangamka' zaidi ukizingatia kulikuwa falme/mataifa tajiri, civilized yenye maendeleo.

Cha kukumbuka tu, ni kwamba origin ya watu weupe kiujumla ni ulaya. Huko kwingine ni kwa sababu walivamia tu.

Hivyo, kama afrika ilivyofanywa, ndivyo amerika ilifanywa hivyo hivyo.

Nchi za asia ilishindikana kwa sababu tayari wenyeji walikuwa na maendeleo yao binafsi including silaha.
Lakini, bado waliziweza nchi kadhaa kuzitawala, ingawa mwisho wa siku walipinduliwa tena.
Hii ndio maana asia wanajiamini na tamaduni zao.

Kwa hiyo, simply, Amerika ilipatikana by accident. Lakini mwisho wa siku walifanya scrambling na patition kama Afrika.


Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Salute boss
 
Njaa ndio iliwapelekea kuzunguka na kutafuta chakula.
Wakaanza kuitana mpaka wakadiriki na kuyaita mataifa yao.

Lakini pia sehemu zingine walizotawala walikuta civilized society
 
Mtoa mada swali lako hauko sahihi wazungu walianza afrika kwanza ndiyo wakaenda Amerika na Asia

Biashara za waafrika na wazungu zilianza toka kuanguka Kwa roman empire karne ya 4 hapa kila taifa lilitafuta malighafi kivyake mfano Chao jukua alikuwa ni mchina aliyefanya biashara za nje ya China kupitia bahari ya Hindi mwaka 859 karne ya 8

Waarubu walianza kuingia afrika kupitia ukanda wa bahari ya Hindi na kufanya biashara na wenyeji wa mwambao wa bahari ya Hindi ,hii ilikuwa ni karne ya 6 na baadae wakafuatiwa na wareno karne ya 8

Spain walifanya biashara na mataifa ya north afrika kama Morocco Egypt karne ya 5 kipindi cha ngome ya fitamids na hapa Egypt walipitia slavery mode of production ,system ya uzalishaji Mali ambayo ilikuwa hata ulaya kipindi cha roman empire kabla ya kuanguka karne ya 4

Portuguese hawa watu waliingia mapema sana south afrika na wakasettle cape town wakifuatiwa na Dutch 1456s

Wazungu hawakulivamia bara LA america sehemu walizokuwa wanafikia hazikuwa zikikaliwa na watu na red indies wakazi wa america walikuwa ni wachache sana wengi walikuwa ni wavivu !.katika historia hakuna sehemu inayo onyesha resistance Kwa walowezi Kwa wazawa wa america hii ni kutokana kwamba hata neno amerika ni limetajwa na navigator wa kipindi hicho

The discovery of new word by Christopher Columbus ,Christoforo Colombo ,Cristobal colon 1492

Hayo yote ni majina ya navigator cristo katika kuligundua bara LA amerika sasa tukiangalia mwaka lilipogunduliwa hilo bara utaona kwamba afrika ndo bara pekee ambalo wageni walipata kulitembelea Kwa muda mrefu kuliko amerika


Labda kama haujaelewa nilichomaanisha au nimeshindwa labda kuliweka swali vizuri.
Nilichouliza ni kwamba Wazungu walilijua Bara la Afrika tangia zamani sana yaani kabla ya Bara la Amerika lkn kwa nini hawakuhamia Afrika na badala yake wakahamia Bara la Amerika na kuja kuanza kuvamia na kutawala Afrika baadaye sana kwa mfano hapa kwetu Wazungu walifika kwenye miaka ya 1890 lkn walikuwa wameishavamia Amerika zamani sana, sasa kwa nini?
 
Hahah,we jamaa historia yako sijui umeipatia wapi,

1.Columbus sio wa kwanza kugundua America bali Vikings ndo walikuwa wakwanza kutokea magharibi kufika bara amerika.

2.Wazungu wameanza kuja africa kitambo sana,Kushakuwa na utawala wa warumi africa especialy north.carthage etc na wazungu walishakuja muda mrefu kabla ya hapo


Lkn kwa nini Wazungu hawakuhamia Afrika kama walivyohamia wote Bara la Amerika? Ndiyo swali langu, kwani Ukoloni wa Kizungu huku kwetu umekuja baadaye sana ingawaje Wazungu walilijua Bara la Afrika kabla hata ya kulijua Bara la Amerika, sasa kwa nini ukoloni ukachelewa na kuamua kuja baadaye?
 
Labda kama haujaelewa nilichomaanisha au nimeshindwa labda kuliweka swali vizuri.
Nilichouliza ni kwamba Wazungu walilijua Bara la Afrika tangia zamani sana yaani kabla ya Bara la Amerika lkn kwa nini hawakuhamia Afrika na badala yake wakahamia Bara la Amerika na kuja kuanza kuvamia na kutawala Afrika baadaye sana kwa mfano hapa kwetu Wazungu walifika kwenye miaka ya 1890 lkn walikuwa wameishavamia Amerika zamani sana, sasa kwa nini?
Wazungu hawakuishi afrika kwasababu kule amerika kulikuwa na maeneo makubwa na yenye rutuba na hakukuwa na upinzani mkali wa makabila kama ilivyokuwa Kwa afrika ambapo tayari kulikuwa na empire kama
Oyo forest state
Buganda
Mandika
Kanem Bornu
Mwanemtapa
Sokoto caliphate
Fitamids
Ahsantehene

Wazungu walihofia sana kusettle afrika kwani historia inaonyesha afrika kabla ya ukoloni tayari kulishakuwa na utawala sehemu mbalimbali

Hii ilipelekea wao kutuma vitangulizi au forerunners kama wamissionary wafanyabiashara na wapelelezi

Hili walilipata kipindi biashara ya utumwa imeshamiri walijifunza mengi afrika isingekuwa Kwa wao kukaa afrika kiholela
 
Lengo lilikuwa kufika india na east asia kiujumla.

Chukua atlas hapo utanielewa kwa jinsi gani ingekuwa ni mbali sana kupitia nchi kavu, ukizingatia usafiri ulikuwa ni mgumu, pia njiani kulikuwa na maadui wengi wa kiutawala kutoka falme na nchi zingine.

Proposal hiyo ya Columbus ilikuwa ni kuzunguka kupitia atlantic ili kutokea upande wa pili (hapa ni baada ya watu kuwa na uelewa wa kwamba dunia ni duara).

Tatizo hapa ilikuwa hakuna ajuaye kuwa kuna bara jingine upande huo, hivyo wali-assume wangefika asia ya mashariki moja kwa moja.

Ila ndo hivyo, baada ya muda mrefu wa safari, wakatia nanga katika bara wasiolijua (america).
Waliwakuta wenyeji, i.e. wahindi wekundu wakawaua kibao. Kiufupi ni kwamba wakatwaa ni kwao. Baada ya feedback kurudi ulaya, na mataifa mengine yakafuata. Hivyo america ikawa ni territory ya watu weupe.

Additionally, kwa nini east asia? - ni kwa sababu kulikuwa na biashara 'iliyochangamka' zaidi ukizingatia kulikuwa falme/mataifa tajiri, civilized yenye maendeleo.

Cha kukumbuka tu, ni kwamba origin ya watu weupe kiujumla ni ulaya. Huko kwingine ni kwa sababu walivamia tu.

Hivyo, kama afrika ilivyofanywa, ndivyo amerika ilifanywa hivyo hivyo.

Nchi za asia ilishindikana kwa sababu tayari wenyeji walikuwa na maendeleo yao binafsi including silaha.
Lakini, bado waliziweza nchi kadhaa kuzitawala, ingawa mwisho wa siku walipinduliwa tena.
Hii ndio maana asia wanajiamini na tamaduni zao.

Kwa hiyo, simply, Amerika ilipatikana by accident. Lakini mwisho wa siku walifanya scrambling na patition kama Afrika.


Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Dark father

Kwa hiyo unamaanisha huko Asia hawakuwa weupe kabla ya hao wa ulaya kuvamia sio.

Walikuwa ni wa rangi gani then
 
Lengo lilikuwa kufika india na east asia kiujumla.

Chukua atlas hapo utanielewa kwa jinsi gani ingekuwa ni mbali sana kupitia nchi kavu, ukizingatia usafiri ulikuwa ni mgumu, pia njiani kulikuwa na maadui wengi wa kiutawala kutoka falme na nchi zingine.

Proposal hiyo ya Columbus ilikuwa ni kuzunguka kupitia atlantic ili kutokea upande wa pili (hapa ni baada ya watu kuwa na uelewa wa kwamba dunia ni duara).

Tatizo hapa ilikuwa hakuna ajuaye kuwa kuna bara jingine upande huo, hivyo wali-assume wangefika asia ya mashariki moja kwa moja.

Ila ndo hivyo, baada ya muda mrefu wa safari, wakatia nanga katika bara wasiolijua (america).
Waliwakuta wenyeji, i.e. wahindi wekundu wakawaua kibao. Kiufupi ni kwamba wakatwaa ni kwao. Baada ya feedback kurudi ulaya, na mataifa mengine yakafuata. Hivyo america ikawa ni territory ya watu weupe.

Additionally, kwa nini east asia? - ni kwa sababu kulikuwa na biashara 'iliyochangamka' zaidi ukizingatia kulikuwa falme/mataifa tajiri, civilized yenye maendeleo.

Cha kukumbuka tu, ni kwamba origin ya watu weupe kiujumla ni ulaya. Huko kwingine ni kwa sababu walivamia tu.

Hivyo, kama afrika ilivyofanywa, ndivyo amerika ilifanywa hivyo hivyo.

Nchi za asia ilishindikana kwa sababu tayari wenyeji walikuwa na maendeleo yao binafsi including silaha.
Lakini, bado waliziweza nchi kadhaa kuzitawala, ingawa mwisho wa siku walipinduliwa tena.
Hii ndio maana asia wanajiamini na tamaduni zao.

Kwa hiyo, simply, Amerika ilipatikana by accident. Lakini mwisho wa siku walifanya scrambling na patition kama Afrika.


Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Upo sahihi
 
Lengo lilikuwa kufika india na east asia kiujumla.

Chukua atlas hapo utanielewa kwa jinsi gani ingekuwa ni mbali sana kupitia nchi kavu, ukizingatia usafiri ulikuwa ni mgumu, pia njiani kulikuwa na maadui wengi wa kiutawala kutoka falme na nchi zingine.

Proposal hiyo ya Columbus ilikuwa ni kuzunguka kupitia atlantic ili kutokea upande wa pili (hapa ni baada ya watu kuwa na uelewa wa kwamba dunia ni duara).

Tatizo hapa ilikuwa hakuna ajuaye kuwa kuna bara jingine upande huo, hivyo wali-assume wangefika asia ya mashariki moja kwa moja.

Ila ndo hivyo, baada ya muda mrefu wa safari, wakatia nanga katika bara wasiolijua (america).
Waliwakuta wenyeji, i.e. wahindi wekundu wakawaua kibao. Kiufupi ni kwamba wakatwaa ni kwao. Baada ya feedback kurudi ulaya, na mataifa mengine yakafuata. Hivyo america ikawa ni territory ya watu weupe.

Additionally, kwa nini east asia? - ni kwa sababu kulikuwa na biashara 'iliyochangamka' zaidi ukizingatia kulikuwa falme/mataifa tajiri, civilized yenye maendeleo.

Cha kukumbuka tu, ni kwamba origin ya watu weupe kiujumla ni ulaya. Huko kwingine ni kwa sababu walivamia tu.

Hivyo, kama afrika ilivyofanywa, ndivyo amerika ilifanywa hivyo hivyo.

Nchi za asia ilishindikana kwa sababu tayari wenyeji walikuwa na maendeleo yao binafsi including silaha.
Lakini, bado waliziweza nchi kadhaa kuzitawala, ingawa mwisho wa siku walipinduliwa tena.
Hii ndio maana asia wanajiamini na tamaduni zao.

Kwa hiyo, simply, Amerika ilipatikana by accident. Lakini mwisho wa siku walifanya scrambling na patition kama Afrika.


Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Lengo lilikuwa kufika india na east asia kiujumla.

Chukua atlas hapo utanielewa kwa jinsi gani ingekuwa ni mbali sana kupitia nchi kavu, ukizingatia usafiri ulikuwa ni mgumu, pia njiani kulikuwa na maadui wengi wa kiutawala kutoka falme na nchi zingine.

Proposal hiyo ya Columbus ilikuwa ni kuzunguka kupitia atlantic ili kutokea upande wa pili (hapa ni baada ya watu kuwa na uelewa wa kwamba dunia ni duara).

Tatizo hapa ilikuwa hakuna ajuaye kuwa kuna bara jingine upande huo, hivyo wali-assume wangefika asia ya mashariki moja kwa moja.

Ila ndo hivyo, baada ya muda mrefu wa safari, wakatia nanga katika bara wasiolijua (america).
Waliwakuta wenyeji, i.e. wahindi wekundu wakawaua kibao. Kiufupi ni kwamba wakatwaa ni kwao. Baada ya feedback kurudi ulaya, na mataifa mengine yakafuata. Hivyo america ikawa ni territory ya watu weupe.

Additionally, kwa nini east asia? - ni kwa sababu kulikuwa na biashara 'iliyochangamka' zaidi ukizingatia kulikuwa falme/mataifa tajiri, civilized yenye maendeleo.

Cha kukumbuka tu, ni kwamba origin ya watu weupe kiujumla ni ulaya. Huko kwingine ni kwa sababu walivamia tu.

Hivyo, kama afrika ilivyofanywa, ndivyo amerika ilifanywa hivyo hivyo.

Nchi za asia ilishindikana kwa sababu tayari wenyeji walikuwa na maendeleo yao binafsi including silaha.
Lakini, bado waliziweza nchi kadhaa kuzitawala, ingawa mwisho wa siku walipinduliwa tena.
Hii ndio maana asia wanajiamini na tamaduni zao.

Kwa hiyo, simply, Amerika ilipatikana by accident. Lakini mwisho wa siku walifanya scrambling na patition kama Afrika.


Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
The dark father maelezo mazuri ahsante
Ni hivi kuna explorer mmoja alikuwa anaitwa Amerigo Vespucci alizaliwa katika mji wa Florence Italy tarehe 9 March 1450.Alifanya safari yake ya kwanza tarehe 10 May 1494 kwenda kujaribu kutafuta njia ya kwenda bara la Asia.Safari yake ya tatu alifanya akafanikiwa kufika Rio de Jeneiro nchi ya Argentina ya sasa.
Alipokuta nchi hii akagundua sio nchi ya Asia akaipa jina la dunia mpya habari za bara hili akizirudisha kwa mfalme wa Ureno wakati huo ambayo ndio alikuwa mfadhili wa safari yake hiyo.
Mnamo mwaka 1507 hiyo dunia mpya ikapewa heshima yake na kuitwa AMERICA kulingana na jina lake Amerigo.Hata hivo ilikuja kugundulika baadaye na Christopher Columbus au Cristobal Columbus kuwa kumbe kuna bara lingine liko kaskazini ambalo ndio bara la Amerika kaskazini
Bahati wenyeji waliowakuta kule hawakuwa wakorofi walikuwa ni wahindi wekundu ambao kiasili walikuwa ni wafugaji na wavivu.Ikumbukwe lengo lao kuu lilikuwa kutafuta njia ya kwenda India kununua viungo maana tawala za nchi za Asia zilikuwa simeendelea sana kibiashara na zilikuwa na tawala zenye nguvu.Walivoona mabara hayo mapya waliyoyakuta yalikuwa na rutuba sana na hali ya hewa ilikuwa sawa na kwao ndio mkakati wa kuhamia Amerika ukaanza taratibu.
Wahindi wekundu wa Amerika wanavoitwa vile kiukweli sio wahindi ila kwasababu shida yao ilikuwa kufika India kwa mara ya kwanza walidhani wamefika wakawapachika jina hilo kwa makosa na walikuwa ni wekundu na ni wekundu hadi leo
Amerigo Vespucci alifariki tarehe 22 feb 1552 katika mji wa Seville katika nchi ya Uhispania
 
Ila hili la kuitafuta Asia kidogo linanichanganya.

Ilikuwaje hao wazungu wa ulaya wajue kwamba huko Asia na India kulikuwa na biashara na viungo, bila kujua mahali kwenyewe palipo na jinsi ya kufika.

Coz hao walioleta taarifa hizo nilitaraji wawe na ufahamu wa eneo husika lllipo na njia za kufika.

Ulaya na Asia zimeungana hakuna hata bahari, sasa iweje wavuke maji kwenda America ambako ni uelekeo tofauti kabisa.

Mm nadhani hao wazungu walikuwa washafika hiko India na asia tayari, ndio wakaanza kupuyanga kwingine wakikata maji waone hayo maji yatawafikisha wapi, ndio wakajikuta huko America.

Ni fikra zangu kulingana na jinsi nionavyo,
 
Back
Top Bottom