Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,785
Ingawaje Wazungu waliijua Afrika kwa miaka mingi kabla ya Columbus kugundua Bara la Amerika, lkn Wazungu hawakuja Afrika kwanza mpaka baadaye sana badala yake wakaenda Bara la Amerika (Leo hii USA, Kanada, Mexiko, Argentina, Venezuela, Brazili, Chile n.k.)sasa kwa nini hawakuja Afrika kwanza?