Mambo kadhaa sasa yanaonyesha kuwa watuhumiwa wa ufisadi wana nguvu ndani ya CCM na TZ kwa ujumla.Mfano katika uchaguzi mkuu ulioisha wameripotiwa kuwakampenia baadhi ya wagombea na wamepita Ubunge.Katika uteuzi wa nafasi mbalimbali serikalini watu wao pia wapo,katika uchakachuaji wa matokeo ya uchaguzi pia wamo na sehemu zingine nyingi.Sasa kwenye ugombea Uspika wa Bunge pia nguvu yao imeonekana.Ina maana sasa TZ tunakubali shinikizo la wenye fedha hakuna kabisa namna ya kuachana nao?