Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,001
- 112,632
Ile kitu $$$ next week kama tulivyoongea chemba.
Hamna noma braza kaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile kitu $$$ next week kama tulivyoongea chemba.
Unafahamu couples wowote ambao moja wapo ana kasoro?
Mimi sijawahi kuona.
Duh! mapenzi ya kuwa na wanawake wengi Lizzy na wote wakampenda?
I wonder.
Heee, we binti hulali?
Asante sana. Si vibaya kama utaweza kushare what u know about them.
kuna mtu namsubiri tulale nae naona yuko busy na thread lake....l.o.l
Kusema ukweli huwa nawaona kanisani na kuwasalimu tu....mmoja ni mlemavu wa miguu anatembea kwa wheel chair mwanaume kaoa mwanamke mzima...huyu mwingine hasikii wala haoni na kaolewa na mwanaume mzima....nawaona kama wana furaha sijui undani wao
Yeah..usidhani ulemavu unawanyima kuwa na wenzi!Ni vile tu huwaoni wakifuatana!Kwa maana nyingine alikuwa ni mlemavu kiwembe, hana pesa na anapendwa na wanawake wengi . . .
Ni ajabu na kweli Lizzy . . . very interesting . . .
Asante BAK umenikumbusha hii kitu: https://www.jamiiforums.com/jamii-p...wanawake-milion-1-wenye-mapenzi-ya-kweli.html
Japo haikutokea TZ lakini iliwagusa wengi: Ila hatujui kama bado wako pamoja:
kuna mtu namsubiri tulale nae naona yuko busy na thread lake....l.o.l
Kusema ukweli huwa nawaona kanisani na kuwasalimu tu....mmoja ni mlemavu wa miguu anatembea kwa wheel chair mwanaume kaoa mwanamke mzima...huyu mwingine hasikii wala haoni na kaolewa na mwanaume mzima....nawaona kama wana furaha sijui undani wao
Mhhhh!