mkadiriajimajenzi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 549
- 608
Nimekua nikijiuliza Pamoja na kuwa very expensive, hakuna iphone yoyote inayoweza kutunza chaji kwa 24hrs Data ikiwa switched "on" kinyume na Simu za tecno ambazo zinapatikana kwa bei nafuu.Ukiangalia upande wa hardware nyingine za iphone ni imara zaid kuliko za Tecno kwa nn kwenye betri wanashindwa?