Kwanini Watanzania hamjiungi na ALIBABA small business website

Mkuu huu uzi wako uliuanzisha ukiwa na lengo zuri sana bahati mbaya wangu walianza kujadili kuhusu hofu ya kutapeliwa badala ya kuchangia mada husika.
Hebu tuambie mkuu ni jinsi gani mtu anaweza kupartner na supplier wa alibaba hata akiwa hana mtaji mkubwa au bila ya kuwa na mtaji kabisa.
Je ni kujenga tuu trust? Na hapo unawezaje kumshawishi supplier wa alibaba akaniamini?
Kama unataka business na Huna pesa ya mtaji mwingi ingieni Alibaba tafuta small business partners .
 
Mkuu huu uzi wako uliuanzisha ukiwa na lengo zuri sana bahati mbaya wangu walianza kujadili kuhusu hofu ya kutapeliwa badala ya kuchangia mada husika.
Hebu tuambie mkuu ni jinsi gani mtu anaweza kupartner na supplier wa alibaba hata akiwa hana mtaji mkubwa au bila ya kuwa na mtaji kabisa.
Je ni kujenga tuu trust? Na hapo unawezaje kumshawishi supplier wa alibaba akaniamini?
Hii ndo pint kuu mkuu ili tupate maujuzi
 
Mkuu mimi niliagiza HTC ONE X na Huawei Ascend P7 toka kwa sellers wawili tofauti wa Aliexpress na mizigo ilifika tena ikiwa salama na katika good condition?nachojua ni kua,aliexpress unapolipia,pesa yako inakua pending mpaka pale unapopata mzigo wako ndio muuzaji upatiwa pesa,na pia ninachofanya najaribu sana kuangalia huyo seller bidhaa zake alizouza awali ziko rated kiasi gani na prev buyers,buyer protection ambayo ina option za full refund if u dont receive ur order,refund ok keep item as not described!kusema ukweli mimi sijawahi kumbana na tatizo lolote kuanzia,amazon,ebay,alibaba na hata aliexpress,microcentre etc na mimi ni mnunuaji mzuri sana wa mitandaoni

Vipi kuhusu kupokea mzigo Tanzania, ulitumia njia gani?
 
Mkuu vipi bado unashughulika na biashara Alibaba? Je vipi twaweza kupata bidhaa Arusha?
 
Wapo wengi sana na makampuni mengi wanatumia hasa ya export na wano import ni wengi uwezi jua watu wanatumiaje but if u have a dill ndipo utakapokutana na watu huko from tz.... na pia kuna mitandao mingi ya kufanya biashara more thana alibaba ... kuna kama trade key,dragon na mingine mingi so tupo ila sana
Am I love with you ghafla tu baada ya kusoma hii comment yako...... Lets do a private chat ya kibiashara
 
Back
Top Bottom