1.kw.kwa nini melody ya wimbo wa taifa inafanana na melody ya wimbo wa afrika kusini?
2.kwa nini bendera ya taifa ya taifa inafanana na bendera ya afrika kusini?
3.mandela alitokea tanzania mazimbu morogoro baada ya kukutana na nyerere kuweka mikakati ya kupigania haki za waafrika kusini dhidi ya serikali ya ubaguzi wa rangi,na punde aliporejea afrika kusini alikamatwa na kufungwa miaka 27,kwa nini tanzania imesahauliwa kiasi cha kutopewa nafasi ya kutambuliwa kwenye mazishi ya mandela licha ya mandela kusisitiza kuwa "msisahau tanu na ccm" wakati akiwa hai?
2.kwa nini bendera ya taifa ya taifa inafanana na bendera ya afrika kusini?
3.mandela alitokea tanzania mazimbu morogoro baada ya kukutana na nyerere kuweka mikakati ya kupigania haki za waafrika kusini dhidi ya serikali ya ubaguzi wa rangi,na punde aliporejea afrika kusini alikamatwa na kufungwa miaka 27,kwa nini tanzania imesahauliwa kiasi cha kutopewa nafasi ya kutambuliwa kwenye mazishi ya mandela licha ya mandela kusisitiza kuwa "msisahau tanu na ccm" wakati akiwa hai?