Kwa ninachokiona Tanzania mfumo wa uongozi katika taasisi ya Afya na tiba na hospital zote nchini zinaongozwa na madaktari au tabibu kwa ngazi za chini..
Hata nilipojalibu kuchungulia wizara ya afya, tofauti na Waziri na Naibu wake, Vitengo na kurugenzi zote zinawajibika kwa Mganga mkuu wa serikali...
Je, Serikali haiwaamini wataalam wengine kama wafamasia, wataalamu wa mionzi, watechnolojia wa maabara, wauguzi, wataalamu wa lishe,nk...
Au hizi fani zingine n kichefuchefu sifa zao kielimu haziwapi nafasi kuongoza,
Hata nilipojalibu kuchungulia wizara ya afya, tofauti na Waziri na Naibu wake, Vitengo na kurugenzi zote zinawajibika kwa Mganga mkuu wa serikali...
Je, Serikali haiwaamini wataalam wengine kama wafamasia, wataalamu wa mionzi, watechnolojia wa maabara, wauguzi, wataalamu wa lishe,nk...
Au hizi fani zingine n kichefuchefu sifa zao kielimu haziwapi nafasi kuongoza,