Kwa nini wasichana wa siku hizi hupenda zaidi wanaume walio oa

mambomoto

JF-Expert Member
May 10, 2011
326
236
Wale wenzangu na mimi tunaopenda kufanya tafiti nyepesi nyepesi za maisha mtaani utajagundua wasichana wa siku hizi wanapenda zaidi kuwa na wanaume za watu kuliko vijana wenzao ambao ni single. Hii pia nimedhibitishiwa na akina dada kibao ambao kila mmoja alikuwa na sababu zake lakini nyingi ya sababu hizo zilikuwa

  • Kwanza Mume wa mtu si msumbufu kama vijana "shalobaro" wengi walioko mtaani ambao hupenda kukuganda sana hata kama huna future naye
  • Ni wepesi kuelewa hata kama utamwambia kuwa mimi ninamtu wangu waume hao hawana shida yeyote.
  • Pili hawadanganyi. Hii ina maana kuwa anachotaka ni penzi na wewe unachotaka kwake atakupa bila maneno mengi ya uongo
  • Wana uzoefu wa kujali (care) hivyo unajisikia huru zaidi. Pia si wapenda malumbano kwani wanajua fika kuwa wana wake zao hivyo wasingependa kujitafutia matatizo.
Kwa kifupi wadau huu ni mtazamo wa tafiti yangu ya mtaani. Mpoooooooooo
 
Ahhh wapi jaribu uone ni mijitu inayoweza kuvunja nyumba anajua saa hizi upo na family ndio atapiga simu! agrrrr yaani wala usijaribu kwani kama unachokitafuta unacho ndani basi utakuwa unatafuta "UKI___"
 
Kutotaka kujishughulisha na kupenda mambo makubwa kuliko uwezo wao usishangae kuona binti mdogo ana list hata ya wanaume kumi kwenye simu yake na kila mmoja kapangiwa jukumu lake.

lakini huwa nashindwa kuelewa ivi na chupi huwa wanavua kama wanavopokea????!

na nyie wababa vidudu ndio vinawakimbiza kugeuzwa ATM machine halafu mnapangwa kama foleni za magari

Mungu atusamehe sana.
 
Kutotaka kujishughulisha na kupenda mambo makubwa kuliko uwezo wao usishangae kuona binti mdogo ana list hata ya wanaume kumi kwenye simu yake na kila mmoja kapangiwa jukumu lake.

lakini huwa nashindwa kuelewa ivi na chupi huwa wanavua kama wanavopokea????!

na nyie wababa vidudu ndio vinawakimbiza kugeuzwa ATM machine halafu mnapangwa kama foleni za magari

Mungu atusamehe sana.
sio tatizo kwao kuvuliwa chupi kila siku alimradi wanapata pesa, dunia imekwisha wewe wacha kabisa
 
Kutotaka kujishughulisha na kupenda mambo makubwa kuliko uwezo wao usishangae kuona binti mdogo ana list hata ya wanaume kumi kwenye simu yake na kila mmoja kapangiwa jukumu lake.

lakini huwa nashindwa kuelewa ivi na chupi huwa wanavua kama wanavopokea????!

na nyie wababa vidudu ndio vinawakimbiza kugeuzwa ATM machine halafu mnapangwa kama foleni za magari

Mungu atusamehe sana.

Dada hapo manene yako yamenigusa sana. Yaani imagine mtu anapendeza lakini ana foleni ya wanaume na kila mtu anamhudumia. Yaani siku hizi hakuna morals kabisaaaa. Na hili gonjwa ndio mmmnnhhh.
 
wanawake wamegundua haya ni mazoba, hayawezi kuyasumbua km vijana wa kawaida. Kifupi nawashangaa sana hawa wenye ndoa!
 
UHata ukitongoza akajua hukua na husiano kama 10
mpaka ishirini anasepa wanawivu wa ajabu wanahisi wa ndoani wanafaidi sana
 
Ahhh wapi jaribu uone ni mijitu inayoweza kuvunja nyumba anajua saa hizi upo na family ndio atapiga simu! agrrrr yaani wala usijaribu kwani kama unachokitafuta unacho ndani basi utakuwa unatafuta "UKI___"

Nakubaliana na wewe mkuu, kipende chako!
 
Mungu atusamehe sana.

Atatusamehe kama tutajirekebisha..........vinginevyo tutakwama tu.atatuchukia kama alivyowachukia akina Esau, Kaini, Mfalme Saul.............the list is long and
 
Kuna mtu mmoja alitoa ushauri ufuatao!
If u r financially stable, n u don't want karaha za marriage n u r only interested in being loved then a married man is a best lover; alitoa sababu zifuatazo:-

1: atakuja kwako kutafuta statehe tu, while maugomvi yatakuwa kwa my wife wake!
2: issue ya kufua Nguo, kunyoosha, kumpikia u will be free kwani Housegirl ni my wife wake!
3: utaendelea na ndoto zako (carrier development) while my wife wake ataandelea kuwa piece of furniture!
4: kama hutaki kuzaa hatakushurutisha kwani anayo team ya mpira kwa my wife wake, pia atafurahi usipoharibu shape!
5: single men watataka at the end of the day wakufanye my wife wao (remember hutaki kuolewa)

My take!
Kwa wale tunaotaka kuolewa l think married men r not the right choice unless unafanya biashara na umewageuza ATM kama big house alivyosema hapo juu!
 
Wale wenzangu na mimi tunaopenda kufanya tafiti nyepesi nyepesi za maisha mtaani utajagundua wasichana wa siku hizi wanapenda zaidi kuwa na wanaume za watu kuliko vijana wenzao ambao ni single. Hii pia nimedhibitishiwa na akina dada kibao ambao kila mmoja alikuwa na sababu zake lakini nyingi ya sababu hizo zilikuwa
  • Kwanza Mume wa mtu si msumbufu kama vijana "shalobaro" wengi walioko mtaani ambao hupenda kukuganda sana hata kama huna future naye
  • Ni wepesi kuelewa hata kama utamwambia kuwa mimi ninamtu wangu waume hao hawana shida yeyote.
  • Pili hawadanganyi. Hii ina maana kuwa anachotaka ni penzi na wewe unachotaka kwake atakupa bila maneno mengi ya uongo
  • Wana uzoefu wa kujali (care) hivyo unajisikia huru zaidi. Pia si wapenda malumbano kwani wanajua fika kuwa wana wake zao hivyo wasingependa kujitafutia matatizo.
Kwa kifupi wadau huu ni mtazamo wa tafiti yangu ya mtaani. Mpoooooooooo

Majibu kumbe unayo, ndio hayo hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom