kwa nini wasichana ambao hawajazaa wako hivi?

Status
Not open for further replies.

kaka km

JF-Expert Member
Nov 16, 2013
1,336
681
Kwa mda mrefu nilikua nikiamini kua wadada waliozaa ndio mashine zao za kusaga na kukoboa mikanda yake imelegea lakini mambo yako tofauti sana siku hizi,wadada ambao hawajazaa ndio wako bure kabisa,mashine zao mikanda yake imelegea sana kuliko hata waliozaa,tatizo au chanzo ni nini wadau!
 
Mkuu

Niko pembeni nangoja wadau waje lakini
lazima ukumbane na kadhia hasa ujumbe
wako haujakaa vizuri maana hao ni Mama
zetu kumbuka.

Sasa asiyefunzwa na Mama..................
 
utakuwa unakibamia sasa kila ukiingiza lazima uogelee......... kingine punguza kuonja kila kona usije taka kuonja hadi vizee..
 
Mada nyengine bana ! Unathibitisha unawake wengi so una ka utafit kako ka ndani


Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
utakuwa unakibamia sasa kila ukiingiza lazima uogelee......... kingine punguza kuonja kila kona usije taka kuonja hadi vizee..
hizi ni zama za free style so hatakiwi awekewe mipaka na wanajamii!
my take to Broo piga Makombe yote so that when you grow old then you will have what to say to your daughers and grandones!
ila usisahau rain boots!
 
Mkuu

Niko pembeni nangoja wadau waje lakini lazima ukumbane na kadhia hasa ujumbe wako haujakaa vizuri maana hao ni Mama zetu kumbuka.

Sasa asiyefunzwa na Mama..................
Najua ni mama,dada na shangazi zetu,kwani nimetumia maneno makali sana ndg?
 
Kwa mda mrefu nilikua nikiamini kua wadada waliozaa ndio mashine zao za kusaga na kukoboa mikanda yake imelegea lakini mambo yako tofauti sana siku hizi,wadada ambao hawajazaa ndio wako bure kabisa,mashine zao mikanda yake imelegea sana kuliko hata waliozaa,tatizo au chanzo ni nini wadau!
kaka km

tutajuaje kama wewe ndio una kibamia
tafuta tu wa saizi yako usitie watoto wa watu shombo bure
 
Last edited by a moderator:
ni kweli tena experience zao zinatisha halafu hata kuolewa bado wakati mama zao wana miaka mingi na bado watamu...
sasa sijui ninyi mkifika hiyo miaka sijui patakuaje huko yeriko!
mkuu umekubali?hatari sana shehe!
 
kaka km

tutajuaje kama wewe ndio una kibamia
tafuta tu wa saizi yako usitie watoto wa watu shombo bure
Sina kibamia wala nini,hiyo ni uchunguzi wangu wa mda mrefu,maoni ya watu wangu wa karibu,wao pia wamekua wakilalamikia jambo hilo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom