Kwanini wanawake wengi wana mihemko ya Uzinzi miaka hii hata aliyeko kwenye ndoa anazini?

Hata Kongosho kauliza au ndo ile dhana mwanamke akidai kufikishwa ni mala.ya au anayejua mchezo ipasavyo ni muuza k?yule gogo au asiyejua mautamu ambae akikojolewa kwa paja hewala.
dada waambie waache kutujadili jadili ovyo.
Hao wake zao wawakune wakunike uone kama watagawa ovyo!
Wanawapaka paka shombo wake zao wakiambiwa wanaleta fedhuli,mabint wakipata wanaostahili hasa kuitwa wanaume kwa kujua majukumu yao na kuyatimiza wachovu wanakuja kulia lia hapa na kuwapa watu sifa wasizozistahili
 
hii inaaplai pia kwa wanaume sio wanawake peke yao. Tena wanaume ndio mmezidi maana mtu anamuona tu mdada hata km ni stendi ya basi anahemka na kumtaka akamlale...hili suala ni la kuangaliwa KIJAMII kwa ujumla wake zaidi na sio kuelemea upande wa wanawake tu.

thats true!tuache finger pointing,tutafute solution ,bila kutaja jinsi/jinsia.!
 
sln ni wote kukubali kubadilika na kulidhika na huyo uliye nae..kuwa bize na kazi na kufikilia jinsi gan ya kujikomboa kimaisha kuliko kuwaza mapenz
 
Kwa kipindi cha mwaka mmoja nimefuatilia maada nyingi humu ndani hakika wanawake wamezidi kufanya ngono ndani ya mahusiano.
Yaani kuna matukio yanajitokeza mpaka unashindwa kuelewa kama wana moyo wa huruma au wameingiliwa na shetani gani..Mtu unaingia kwenye Ndoa kwa kusahau yote aliyoyapitia bado akiingia kwenye ndoa anaendelea kufanya uzinzi tu..Jaribu kusoma thread nyingi ndani ya MMU utaona nyingi zinaongelea kusalitiana, kufumaniana,kugongewa yaani shida tupu.
Je ni vyakula hivi ambavyo vimebadilisha mihemko ya miili yetu mpaka tunakuwa na hamu ya uzinzi hadi usoni kwetu...Tuwe wakweli humu ndani wadada wengi wanamatatizo kwenye mahusiano yapo ndio maana baadhi yao michango yao huwa ukiifikiria utadhani siyo mwanamke ..

Ebu wakati tunaelekea mwisho wa mwaka tujaribu kujiuliza nini tumemkosea mungu mpaka tunakuwa na hulka ya uzinzi kiasi hicho.
Leo tu kuna mdau amesafiri kibiashara mke wake wa ndoa ameingiza mwanaume kwenye kitanda chake kwa ajili ya kuzini hivi hamuoni aibu???
Mnakera kwa kweli

kwa sababu wanaume wamezidi nyege mshindo wanazini hata na wake za watu!
 
unadhani mtu atahisi tu nakuamua kutoka nje? huwa wanakua na vithibitisho..na pengine mume hashauriki au habadili tabia...na aibu ni kwa wote

Niongezee tu kidogo lininge hawa waume wanasahau kuwa mwanamke anaitaji kupendwa na kuendelewa kusifiwa na kutambiwa kuwa yeye ndio yeye kama ilivokua mwanzo wa mahusioano. tatizo wakishakuweka ndani basi.. hakuna i love you any more, hakuna caring, una shida ukisema umshirikiseh mwenzio ndio majanga bora unyamaze.... yaani mwanaume anaacha kabisa kukutahamini kama vile mwanzo... wakati ww bado unaitaji kuthaminiwa na kupendwa na kuambiwa umependeza, kubembelezwa... you know he should be there for you all the time...
 
Siku hizi naona tafit zimezidi,mtu analala na kuota pakikucha tu anakuja na utafiti wake. Nami kesho ntakuja na utafiti wangu apa
 
Mkimaliza tafiti zote mtanijulisha......hivi huo uzinzi wanafanya peke yao,au huwa wanafanyana na midoli?:confused:
 
Kwa kipindi cha mwaka mmoja nimefuatilia maada nyingi humu ndani hakika wanawake wamezidi kufanya ngono ndani ya mahusiano.
Yaani kuna matukio yanajitokeza mpaka unashindwa kuelewa kama wana moyo wa huruma au wameingiliwa na shetani gani..Mtu unaingia kwenye Ndoa kwa kusahau yote aliyoyapitia bado akiingia kwenye ndoa anaendelea kufanya uzinzi tu..Jaribu kusoma thread nyingi ndani ya MMU utaona nyingi zinaongelea kusalitiana, kufumaniana,kugongewa yaani shida tupu.
Je ni vyakula hivi ambavyo vimebadilisha mihemko ya miili yetu mpaka tunakuwa na hamu ya uzinzi hadi usoni kwetu...Tuwe wakweli humu ndani wadada wengi wanamatatizo kwenye mahusiano yapo ndio maana baadhi yao michango yao huwa ukiifikiria utadhani siyo mwanamke ..

Ebu wakati tunaelekea mwisho wa mwaka tujaribu kujiuliza nini tumemkosea mungu mpaka tunakuwa na hulka ya uzinzi kiasi hicho.
Leo tu kuna mdau amesafiri kibiashara mke wake wa ndoa ameingiza mwanaume kwenye kitanda chake kwa ajili ya kuzini hivi hamuoni aibu???
Mnakera kwa kweli
hapa inabidi tuongelee pande zote mbili.
nyie wanaume:mnasahau majukumu yenu,mashindwa kuwatreat wake zenu kama inavyotakiwa ndio maana wanagongwa hovyo.
wanawake:tuache tamaa,na vile vile tuache kulinganisha....mara ooooh mume wangu hana six pack,mara oooohh mume wangu si handsome,mara oooohh mume wangu hana hela.n.k kwanin tusiridhike na tulicho nacho?

pia marafiki ni chanzo kikubwa,ukiwa na marafiki wazinzi kwa vyovyote nawe utakuwa au utaanza uzinzi.....na wengine ni wazinzi by default,wamezaliwa na hiyo tabia.
so its better nyie wanaume badala ya kulalamika mngeanza kujirekebisha kwanza then ndo umsaidie na mkeo kuchange.
 
hapa inabidi tuongelee pande zote mbili.
nyie wanaume:mnasahau majukumu yenu,mashindwa kuwatreat wake zenu kama inavyotakiwa ndio maana wanagongwa hovyo.
wanawake:tuache tamaa,na vile vile tuache kulinganisha....mara ooooh mume wangu hana six pack,mara oooohh mume wangu si handsome,mara oooohh mume wangu hana hela.n.k kwanin tusiridhike na tulicho nacho?

pia marafiki ni chanzo kikubwa,ukiwa na marafiki wazinzi kwa vyovyote nawe utakuwa au utaanza uzinzi.....na wengine ni wazinzi by default,wamezaliwa na hiyo tabia.
so its better nyie wanaume badala ya kulalamika mngeanza kujirekebisha kwanza then ndo umsaidie na mkeo kuchange
.

Hakika hapo ndio pakubwa na ndio chanzo cha haya yote..Kama hakuna hiyo kitu siwezi kukuta njiani nikakuomba papuchi yako kwa kukupa lift tu ukakubali kama hakuna sehemu ulishawahi simuliwa hayo niliyoyawekea rangi nyekundu.
Kama tukiweza kusimama sisi wenyewe bili kulinganisha vitu kwenye mahusiano hakika hakutakuwa na leo uko na fulani mara leo uko na nani na hakuna ugomvi utakao jitokeza kwenye mahusiano..uGOMVI MWINGI UKIUANGALIA CHANZO CHAKE NI HAYO YA UINGALIFU WA WA KWANGU NAMPA MINI KABANG NDIO MAANA KANINUNULIA VITZ,IPHONE,KANIPANGISHIA NYUMBA ETC.
Hivyo nguzo ya mabadiliko ni ulinganifu kwa wanawake wenyewe....
Asante kwa msaada wa uchambuzi
 
Watu wakweli kama wewe ndo huwa tunatafuta naomba namba yako ya simu basi dada mpendwa.
 
wengi ni kwa hasira na kulipiza visasi kwa waume zao..unakuta mume ni mwenye mahusiano mengine nje ya ndoa yake,mwanamke anavumiliaa wee mwisho wa siku anachoka..na kutengana hataki labda anahurumia watoto wake...na hapo labda njia nyingine zote za kumtuliza mume zimeshindikana..basi wanaamua na wao kuzurura nje ya ndoa sasa..inakua ngoma droo tu


hapo kwenye nyekundu sidhani kama kutembea na wanaume wengine ni kuwahurumia watoto..........

kama kweli kuna huruma kwa watoto ,wangezifungia hizo papuchi kabisa mpaka kwa hao waume zao wa ndoa ili angalau wao wabaki kuwatunza watoto.
 
Wanawapaka paka shombo wake zao wakiambiwa wanaleta fedhuli,mabint wakipata wanaostahili hasa kuitwa wanaume kwa kujua majukumu yao na kuyatimiza wachovu wanakuja kulia lia hapa na kuwapa watu sifa wasizozistahili

kama kawa naona umepimia kwa mbali............
 
Back
Top Bottom