Kwa nini wanawake wengi wachoyo?

Mwagitho

Senior Member
Oct 11, 2013
111
38
Ingawa sio wote lakini wengi ni wachoyo sana naona hata wewe unayesoma hii maada kama mwanamke itakuwa inakugusa inawezekana na wewe ni mchoyo.Unakuta nyumbani kuna kila kitu au mumeo amekuachia kila kitu lakini utafanya vijibajeti unavyovijua mwenyewe ili watu wasilizike, muhusika akikuuliza unakuja na majibu yasiyo na kichwa wala miguu yawezekana anayetafuta mwingine sio wewe hii ni kwa nini?
 
Ingawa sio wote lakini wengi ni wachoyo sana naona hata wewe unayesoma hii maada kama mwanamke itakuwa inakugusa inawezekana na wewe ni mchoyo.Unakuta nyumbani kuna kila kitu au mumeo amekuachia kila kitu lakini utafanya vijibajeti unavyovijua mwenyewe ili watu wasilizike, muhusika akikuuliza unakuja na majibu yasiyo na kichwa wala miguu yawezekana anayetafuta mwingine sio wewe hii ni kwa nini?

hiyo ni true story iliyokutokea!!! umehielezea kwa hisiya kali dana. kweri fanya mpango
 
Wanawake waliumbwa kupokea sio kutoa. Ndio maana kwa dini yetu, mwanaume akisha maliza, mwanamke atajijua asipoweza kujifikisha kileleni basi hatofikishwa
 
Si uchoyo ni budget maisha magumu haya ujue,hatwez kua tunakula sato kila cku,maharage tembele vyahusika...hauwez kakae kwako c kukaa kwa watu!maana kuna watu wanakula jaman utafikiri hana uhakika km atakula kesho na keshokutwa
 
Back
Top Bottom