Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Samahani wanaJF,
Nimekuwa nikijiuliza sana suala hili baada ya kutembea nje ya nchi na kuona maumbo ya wanawake kwenye mabara mengine. Kwa ujumla, dada zetu wa kiafrika wana makalio makubwa ukilinganisha na mabara mengine. Tofauti hii ina tafsiri yoyote kimazingira?
Nimekuwa nikijiuliza sana suala hili baada ya kutembea nje ya nchi na kuona maumbo ya wanawake kwenye mabara mengine. Kwa ujumla, dada zetu wa kiafrika wana makalio makubwa ukilinganisha na mabara mengine. Tofauti hii ina tafsiri yoyote kimazingira?