akina dada zetu msikubali kudanganyika kirahisi hivyo nawapenda nyote nyinyi ndio mama zetu na ukipewa gari chukua na kadi yake litakuwa lako kweli bila kadi utakuwa umeazimwa
junior,
huko si kudanganyika ila ni kwamba wanawake wengi wanapenda maendeleo kwa haraka
Wengi wao wanapenda kutembea wakia wamekaa hilo ndo tatizo!
we mwenyewe ukipewa gari utakubali vile vile....:wink2:
Siku hizi hata wanaume nao wanapenda vya bure....!