Kudadadeki
Member
- Oct 7, 2010
- 70
- 3
Nimefanya uchunguzi kitambo sasa kuhusu style ya uendeshaji wa madereva wa Kike hapa Dar. Nimegundua yafuatayo;
1) Hawako relaxed wanapoendesha magari, wapo tense;
2) Huvuta kiti cha dereva hadi matiti yanapokugusa usukani (steering);
3) Hawana uwezo wa kupepesa macho kulia na kushoto kuangalia nini kinachoendelea pande hizo (siyo kuangalia kwenye sides mirrow, but kuangalia kwenye direction ya vioo and beyond);
4) Macho huangaza mbele tu, yaani ukiwa pembeni mwa dereva wa kike unayemfahamu na ukataka kumsalimia "hatokuona" hata ufanye jitihada gani;
5) Wanaendesha wakiwa "peku"- bila kuvaa viatu.
Sasa Wakuu, ebu nisaidieni;
1) Kwa nini wanakuwa tense ? Je, ni kwa sababu they are always worried wasije gonga gari zao za mikopo ?
2) Au, wakati wote huwa wanafikiria " yaani Buzi langu likininyang'anya gari hii aliyo ninunulia lakini Card iko kwake ndo basi tena narudi kwenye daladala" ?
3) Au, huwa tense kwa kufikiri majaliwa yao baada ya kupokea "Mshurubati Bin Nuru" (astakafurai) bila Condom toka kwa hao walio wanunulia magari hayo ?
Nawasilisha kwa Watafiti wenzangu !!
1) Hawako relaxed wanapoendesha magari, wapo tense;
2) Huvuta kiti cha dereva hadi matiti yanapokugusa usukani (steering);
3) Hawana uwezo wa kupepesa macho kulia na kushoto kuangalia nini kinachoendelea pande hizo (siyo kuangalia kwenye sides mirrow, but kuangalia kwenye direction ya vioo and beyond);
4) Macho huangaza mbele tu, yaani ukiwa pembeni mwa dereva wa kike unayemfahamu na ukataka kumsalimia "hatokuona" hata ufanye jitihada gani;
5) Wanaendesha wakiwa "peku"- bila kuvaa viatu.
Sasa Wakuu, ebu nisaidieni;
1) Kwa nini wanakuwa tense ? Je, ni kwa sababu they are always worried wasije gonga gari zao za mikopo ?
2) Au, wakati wote huwa wanafikiria " yaani Buzi langu likininyang'anya gari hii aliyo ninunulia lakini Card iko kwake ndo basi tena narudi kwenye daladala" ?
3) Au, huwa tense kwa kufikiri majaliwa yao baada ya kupokea "Mshurubati Bin Nuru" (astakafurai) bila Condom toka kwa hao walio wanunulia magari hayo ?
Nawasilisha kwa Watafiti wenzangu !!