Kwa nini Wanawake wapoedesha Magari wapo "tense" sana ?

Kudadadeki

Member
Oct 7, 2010
70
3
Nimefanya uchunguzi kitambo sasa kuhusu style ya uendeshaji wa madereva wa Kike hapa Dar. Nimegundua yafuatayo;

1) Hawako relaxed wanapoendesha magari, wapo tense;

2) Huvuta kiti cha dereva hadi matiti yanapokugusa usukani (steering);

3) Hawana uwezo wa kupepesa macho kulia na kushoto kuangalia nini kinachoendelea pande hizo (siyo kuangalia kwenye sides mirrow, but kuangalia kwenye direction ya vioo and beyond);

4) Macho huangaza mbele tu, yaani ukiwa pembeni mwa dereva wa kike unayemfahamu na ukataka kumsalimia "hatokuona" hata ufanye jitihada gani;

5) Wanaendesha wakiwa "peku"- bila kuvaa viatu.

Sasa Wakuu, ebu nisaidieni;

1) Kwa nini wanakuwa tense ? Je, ni kwa sababu they are always worried wasije gonga gari zao za mikopo ?

2) Au, wakati wote huwa wanafikiria " yaani Buzi langu likininyang'anya gari hii aliyo ninunulia lakini Card iko kwake ndo basi tena narudi kwenye daladala" ?

3) Au, huwa tense kwa kufikiri majaliwa yao baada ya kupokea "Mshurubati Bin Nuru" (astakafurai) bila Condom toka kwa hao walio wanunulia magari hayo ?

Nawasilisha kwa Watafiti wenzangu !!
 
Hiyo unayoita wako tense inawasaidia utagundua wanawake wengi hawapati ajali na hata wakipata wanakuwa wamegongwa wao,ni waangalifu sana wakiwa barabarani.Wanaume tunajiamini sana ndio maana tunasababisha ajali nyingi.
 
Kuna jamaa mmoja alimuambia dereva wa kike alipobabaika kupita kwenye barabara yenye utata na msongamano; " ona sasa mnavamia fani si zenu, kazi zenu kukalangiza vyakula nyumbani"
 
hebu sikiliza matangazo ya magari ya used ''mmiliki mwanamke''....think kudadeki think.....l.o.l
 
Mhh hayo yoote ila hiyo ya tano kwa upande wangu ni kweli hahha hahha :coffee::coffee:
 
wife wangu akiwa anaendesha. anavua viatu, so anakipiga pekupeku, atazima redio eti inamchanganya, kiti atakisogeza mbele karibu na sterling kali zaidi anawachukia sana wenye pikipiki wakikatiza kulia kushoto wanamchanganya mbayaaaaa.
 
Hao wanaoendesha hivyo wameanza na gari za automatic moja kwa moja bila ya angalau kujifunza ile ya manual kidogo ambayo inakupa balance fulani.

Kuhusu kuendesha peku peku ni kweli kwa vile viatu wanavyovaa wanawake vinakuwa na urefu wa aina aina. Vyengine ni flat na vyengine vina 2 inch, 4 inch au hata 6 inch heels siku hizi, kwa hivyo inakuwa shida kuweka balance ukiwa umevaa viatu virefu. Hii ni tofauti na wanaume ambao wao aidha ni mabuti au sandals.

Mimi huwa naweka kanda mbili ndani ya gari, nikiingia basi huwa navaa kanda mbili na nikitoka navaa viatu vyangu.

Ama vya kununuliwa gari, kwa kweli hapo umechemsha. Wengine ni wafanya kazi wenye fedha za kutosha kununua hata ma land cruiser na prado. Mfano, mimi ninazo gari mbili ambazo nimenunua kwa fedha zangu mwenyewe.
 
Nimefanya uchunguzi kitambo sasa kuhusu style ya uendeshaji wa madereva wa Kike hapa Dar. Nimegundua yafuatayo;

1) Hawako relaxed wanapoendesha magari, wapo tense;

2) Huvuta kiti cha dereva hadi matiti yanapokugusa usukani (steering);

3) Hawana uwezo wa kupepesa macho kulia na kushoto kuangalia nini kinachoendelea pande hizo (siyo kuangalia kwenye sides mirrow, but kuangalia kwenye direction ya vioo and beyond);

4) Macho huangaza mbele tu, yaani ukiwa pembeni mwa dereva wa kike unayemfahamu na ukataka kumsalimia "hatokuona" hata ufanye jitihada gani;

5) Wanaendesha wakiwa "peku"- bila kuvaa viatu.

Sasa Wakuu, ebu nisaidieni;

1) Kwa nini wanakuwa tense ? Je, ni kwa sababu they are always worried wasije gonga gari zao za mikopo ?

2) Au, wakati wote huwa wanafikiria " yaani Buzi langu likininyang'anya gari hii aliyo ninunulia lakini Card iko kwake ndo basi tena narudi kwenye daladala" ?

3) Au, huwa tense kwa kufikiri majaliwa yao baada ya kupokea "Mshurubati Bin Nuru" (astakafurai) bila Condom toka kwa hao walio wanunulia magari hayo ?

Nawasilisha kwa Watafiti wenzangu !!

Mawazo kama haya ndio yanadhihirisha udhaifu wa wanaume, unaacha kuwaza mkeo na familia yako, carreer yako na maendeleo yako kwa ujumla unawaza wanawake wanapoendesha magari, wanakula, wanachoweka kwenye handbag, kwa nini hawataki uchi, kwa nini wanajiacha uchi; all men eyes and brain on women. Pathetic.
 
Hao wanaoendesha hivyo wameanza na gari za automatic moja kwa moja bila ya angalau kujifunza ile ya manual kidogo ambayo inakupa balance fulani.

Kuhusu kuendesha peku peku ni kweli kwa vile viatu wanavyovaa wanawake vinakuwa na urefu wa aina aina. Vyengine ni flat na vyengine vina 2 inch, 4 inch au hata 6 inch heels siku hizi, kwa hivyo inakuwa shida kuweka balance ukiwa umevaa viatu virefu. Hii ni tofauti na wanaume ambao wao aidha ni mabuti au sandals.

Mimi huwa naweka kanda mbili ndani ya gari, nikiingia basi huwa navaa kanda mbili na nikitoka navaa viatu vyangu.

Ama vya kununuliwa gari, kwa kweli hapo umechemsha. Wengine ni wafanya kazi wenye fedha za kutosha kununua hata ma land cruiser na prado. Mfano, mimi ninazo gari mbili ambazo nimenunua kwa fedha zangu mwenyewe.


Nimekubali bi mkongwe
 
ila ni wazuri wa kusababisha ajali pia maana kuendesha vizuri haimanishi ugongwe kugongwa pia kunamaanisha uzembe fulani ya jinsi unavyojiendesha barabarani
 
such public displays of stupidity and narrow mindedness should be outlawed
 
ila ni wazuri wa kusababisha ajali pia maana kuendesha vizuri haimanishi ugongwe kugongwa pia kunamaanisha uzembe fulani ya jinsi unavyojiendesha barabarani
 
it is more psychological. Uzima wa binadamu huanzia mwilini mwa mwanamke kwa kubeba mimba, na baadae huendelea kulea mtoto kwa karibu zaidi. Wanawake ni walezi wa uhai wa binadamu; wanaujali uhai na kuutunza. Ndo maana wanakuwa waangalifu sana kwa kila kitu chenye kuweza kuhatarisha uzima/ uhai. Kumbe hata anapoendesha gari anakuwa makini sana ili asije hatarisha maisha ya mtu kwa ajali. Wanakuwa very protective.
 
3) Hawana uwezo wa kupepesa macho kulia na kushoto kuangalia nini kinachoendelea pande hizo (siyo kuangalia kwenye sides mirrow, but kuangalia kwenye direction ya vioo and beyond);

4) Macho huangaza mbele tu, yaani ukiwa pembeni mwa dereva wa kike unayemfahamu na ukataka kumsalimia "hatokuona" hata ufanye jitihada gani;


Women have greater peripheral vision (wider view)
than men. From a revolution perspective a woman
eye is adapted to see a wider area without turning
her head. That ability is important in watching over
the young ones and making sure they are safe.

On the other hand men have to turn their heads to
have a greater side view. This the reason why men
get caught checking on women's boobs. Women
do check on men more than men do but they use
there highly adaptive peripheral vision without getting
caught.



To conclude... Women don't need to turn their heads
while driving because they don't have too.


...
 
Nimefanya uchunguzi kitambo sasa kuhusu style ya uendeshaji wa madereva wa Kike hapa Dar. Nimegundua yafuatayo;

1) Hawako relaxed wanapoendesha magari, wapo tense;

2) Huvuta kiti cha dereva hadi matiti yanapokugusa usukani (steering);

3) Hawana uwezo wa kupepesa macho kulia na kushoto kuangalia nini kinachoendelea pande hizo (siyo kuangalia kwenye sides mirrow, but kuangalia kwenye direction ya vioo and beyond);

4) Macho huangaza mbele tu, yaani ukiwa pembeni mwa dereva wa kike unayemfahamu na ukataka kumsalimia "hatokuona" hata ufanye jitihada gani;

5) Wanaendesha wakiwa "peku"- bila kuvaa viatu.

Sasa Wakuu, ebu nisaidieni;

1) Kwa nini wanakuwa tense ? Je, ni kwa sababu they are always worried wasije gonga gari zao za mikopo ?

2) Au, wakati wote huwa wanafikiria " yaani Buzi langu likininyang'anya gari hii aliyo ninunulia lakini Card iko kwake ndo basi tena narudi kwenye daladala" ?

3) Au, huwa tense kwa kufikiri majaliwa yao baada ya kupokea "Mshurubati Bin Nuru" (astakafurai) bila Condom toka kwa hao walio wanunulia magari hayo ?

Nawasilisha kwa Watafiti wenzangu !!
Dah hapo kwenye "Mshurubati bin Nuru"
 
Nimefanya uchunguzi kitambo sasa kuhusu style ya uendeshaji wa madereva wa Kike hapa Dar. Nimegundua yafuatayo;

1) Hawako relaxed wanapoendesha magari, wapo tense;

2) Huvuta kiti cha dereva hadi matiti yanapokugusa usukani (steering);

3) Hawana uwezo wa kupepesa macho kulia na kushoto kuangalia nini kinachoendelea pande hizo (siyo kuangalia kwenye sides mirrow, but kuangalia kwenye direction ya vioo and beyond);

4) Macho huangaza mbele tu, yaani ukiwa pembeni mwa dereva wa kike unayemfahamu na ukataka kumsalimia "hatokuona" hata ufanye jitihada gani;

5) Wanaendesha wakiwa "peku"- bila kuvaa viatu.

Sasa Wakuu, ebu nisaidieni;

1) Kwa nini wanakuwa tense ? Je, ni kwa sababu they are always worried wasije gonga gari zao za mikopo ?

2) Au, wakati wote huwa wanafikiria " yaani Buzi langu likininyang'anya gari hii aliyo ninunulia lakini Card iko kwake ndo basi tena narudi kwenye daladala" ?

3) Au, huwa tense kwa kufikiri majaliwa yao baada ya kupokea "Mshurubati Bin Nuru" (astakafurai) bila Condom toka kwa hao walio wanunulia magari hayo ?

Nawasilisha kwa Watafiti wenzangu !!
Mada yako uliianza vizuri sana. Lakini huku mwisho umeharibu kabisaaa! Anyway acha nipite tu
 
Women have greater peripheral vision (wider view)
than men. From a revolution perspective a woman
eye is adapted to see a wider area without turning
her head. That ability is important in watching over
the young ones and making sure they are safe.

On the other hand men have to turn their heads to
have a greater side view. This the reason why men
get caught checking on women's boobs. Women
do check on men more than men do but they use
there highly adaptive peripheral vision without getting
caught.



To conclude... Women don't need to turn their heads
while driving because they don't have too.


...

I concur.....Spot On mate.....
 
Napenda uendeshaji wao kwani ni makini sana nawanakuwa na defensive driving yaani hata akiwa kwenye right way ukimwomba kama kuingia kwenye line yake au kuvuka wengi wanatoa site tofauti na midume pia hawana rough driving kama most men
 
ila ni wazuri wa kusababisha ajali pia maana kuendesha vizuri haimanishi ugongwe kugongwa pia kunamaanisha uzembe fulani ya jinsi unavyojiendesha barabarani

Mara nyingi wanaume wakitaka kuchomekea husubiri mpaka waone dereva mwanamke mwenye gari nzuri basi ndiyo hapo huwa wanachomekea. Eti wanasema mwanamke hapendi gari yake igongwe.

Kugongwa mara nyingi kunatokana na uzembe wa kutaka kuchomekea au kufanya vurugu barabarani, vitu ambavyo ni wanawake wachache sana wanaweza kufanya.
 
Back
Top Bottom