Kwa nini wanawake wapo hivi?

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
Kila hatua ya kukua kwa mwanadamu inaendana na kukutana au kutokutana na mambo fulani katika hii dunia. Ukizaliwa, siku ya kwanza (hujitambui kabisa) lakini watu watakuja kukuona na kujaribu kukufananisha na wale ambao tayari wapo duniani nk .nk Lakini huwezi kuwatambua hao.

ukifikia umri wa kujitambua , utaweza kuwatambua kwanza na kuwatofautisha tabia, sura, sauti na jinsia wale waliokuleta duniani (baba na mama yako) kama wao pamoja. Baadae utajitambua wewe mwenyewe kisaikolojia (jinsia yako, rangi, tabia, vitu unavyopenda na usivyopenda, unavyojua na usivyojua nk nk).. Baadae utajitambua zaidi, ndipo utaanza kujitofautisha wewe na wengine, hapo utachagua marafiki na maadui, raha na tabu nk nk., Ni katika kipindi cha kujua jema na baya pia, binadamu huwa ana hangaika kupata yote mema, utataka mzazi wema, utaomba uwe na rafiki mwema, utataka upate mke au mume mwema,uwe na watoto wema, upate kazi njema na mshahara wa kukuweka sehemu "njema", ule, unywe na ulale vyema, uonekane kwenye jamii kuwa wewe upo njema na unatenda yaliyo mema siku zote!

Hata hivyo, inaonekana kuwa tabia za wanaume mara nyingi huwa zinatofautiana na za wanawake tokea utoto.....hisia za kufanya yaliyo mema siku zote kwa wanawake ni kubwa zaidi kuliko wanaume, na wanawake hisia hizo zimejengwa na huruma, mapenzi na pengine hofu nyingi za kukosea, kwani kukosea kwao inakuwa ni sawa na kutenda dhambi kubwa....na kuwa wanawake huwa wanaweza kutunza siri kubwa moyoni, na pengine hata ile inayomuua. Cha kushangaza, kwa upande mwingine, hao hao wanawake ndio wanaonekana kuwa wavujisha siri kwa kiwango kikubwa sana katika jamii kuliko hata wanaume....


Je, kwa nini ipo hivi?
 
Kila hatua ya kukua kwa mwanadamu inaendana na kukutana au kutokutana na mambo fulani katika hii dunia. Ukizaliwa, siku ya kwanza (hujitambui kabisa) lakini watu watakuja kukuona na kujaribu kukufananisha na wale ambao tayari wapo duniani nk .nk Lakini huwezi kuwatambua hao.

ukifikia umri wa kujitambua , utaweza kuwatambua kwanza na kuwatofautisha tabia, sura, sauti na jinsia wale waliokuleta duniani (baba na mama yako) kama wao pamoja. Baadae utajitambua wewe mwenyewe kisaikolojia (jinsia yako, rangi, tabia, vitu unavyopenda na usivyopenda, unavyojua na usivyojua nk nk).. Baadae utajitambua zaidi, ndipo utaanza kujitofautisha wewe na wengine, hapo utachagua marafiki na maadui, raha na tabu nk nk., Ni katika kipindi cha kujua jema na baya pia, binadamu huwa ana hangaika kupata yote mema, utataka mzazi wema, utaomba uwe na rafiki mwema, utataka upate mke au mume mwema,uwe na watoto wema, upate kazi njema na mshahara wa kukuweka sehemu "njema", ule, unywe na ulale vyema, uonekane kwenye jamii kuwa wewe upo njema na unatenda yaliyo mema siku zote!

Hata hivyo, inaonekana kuwa tabia za wanaume mara nyingi huwa zinatofautiana na za wanawake tokea utoto.....hisia za kufanya yaliyo mema siku zote kwa wanawake ni kubwa zaidi kuliko wanaume, na wanawake hisia hizo zimejengwa na huruma, mapenzi na pengine hofu nyingi za kukosea, kwani kukosea kwao inakuwa ni sawa na kutenda dhambi kubwa....na kuwa wanawake huwa wanaweza kutunza siri kubwa moyoni, na pengine hata ile inayomuua. Cha kushangaza, kwa upande mwingine, hao hao wanawake ndio wanaonekana kuwa wavujisha siri kwa kiwango kikubwa sana katika jamii kuliko hata wanaume....


Je, kwa nini ipo hivi?

Kuna haja ya kutoa mifano hai ili kusupport hitimisho lako, vinginevyo litakuwa halina mvuto. Kwa maoni yangu hata wanaume nao kwa namna moja au nyingine wanavujisha siri hivyo sijui ni vigezo gani ulivyotumia na kuhitimisha kwamba Wanawake ndiyo wanaovujisha sana siri kuliko wanaume.
 
Kuna haja ya kutoa mifano hai ili kusupport hitimisho lako, vinginevyo litakuwa halina mvuto. Kwa maoni yangu hata wanaume nao kwa namna moja au nyingine wanavujisha siri hivyo sijui ni vigezo gani ulivyotumia na kuhitimisha kwamba Wanawake ndiyo wanaovujisha sana siri kuliko wanaume.
article-0-062A434B000005DC-219_468x286.jpg



sitakwenda kwenda mbali sana,

Take this few.

  1. Eva vs Satan.
  1. Delila vs Samson,
  2. Clinton vs Monica,
  3. Tigger wod vs Rachel Uchitel, Jamie Grubbs, Kalika Moquin, Jamie Jungers, Mindy Lawton, Cori Rist,Holly Sampson,Holly Sampson,Loredana Jolie,Julie Postle,Theresa Rogers.
  4. Peter Robinson vs his wife
 
Back
Top Bottom