Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Swalaamaaa wana MMU
Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza kwa nini wanawake wengi na mabinti wa kanda ya ziwa wana chale mwilini!!?
Chale hizo zinaonekana hasa maeneo ya kifuani kwa juu karibu na shingo na nyingine mgongoni kwa juu
Mademu wengi niliowalomba na wale nisiowalomba huku kanda ya ziwa nimewakuta na chale
Demu unakuta ni mkali white ila ana chale kadhaa mwilini
Wale wenyeji wa kanda ya ziwa hasa wasukuma ebu tuambieni kwa nini wanawake wa kwenu wanakua na chale sana mwilini!?
Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza kwa nini wanawake wengi na mabinti wa kanda ya ziwa wana chale mwilini!!?
Chale hizo zinaonekana hasa maeneo ya kifuani kwa juu karibu na shingo na nyingine mgongoni kwa juu
Mademu wengi niliowalomba na wale nisiowalomba huku kanda ya ziwa nimewakuta na chale
Demu unakuta ni mkali white ila ana chale kadhaa mwilini
Wale wenyeji wa kanda ya ziwa hasa wasukuma ebu tuambieni kwa nini wanawake wa kwenu wanakua na chale sana mwilini!?