hii ni kalibu inchi nyingi za kiafrika,hasa kusini mwa jangwa la sahara,unakuta mtu anajiapiza lazima fulani anioe, wengie wanatumia mitishamba ili waolewe, mwanaume ndiye mwenye nguvu ya kumtaka mwanamke amuoe,kinyume chake sababu umelazimisha kuolewa, unashaanga hata mwezi haujapita watu wameacha.