Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
- Thread starter
- #61
unaua kamanda....kitimotro hicho babawanawake wenyewe siku hzi wana vitambia haooooo kma wanaume tu
unaua kamanda....kitimotro hicho babawanawake wenyewe siku hzi wana vitambia haooooo kma wanaume tu
mnawapendea nini? vipodozi?au mnafurahia kushare parfume na sabuni? tuambieni usije kukuta ndio evolution yenyewe hiyo
umenichekesha sana mkuu, inawezekana kuna ukweli ktk maoniyako,wacongo siunajua faniyao ni ndombolo kukatika toka wanazaliwa.Wakongo wanakatika balaa kwenye game kwahiyo kinadada wanaegesha tu na kusikilizia raha hahaha ! Itabidi tuanze mazoezi lol!
kama ni kweli bora waolewe wote tu...tubaki wenyeweSiyo wacongo tuu!! Dada zetu foreigner yoyte anawarusha roho!!! Ulimbukeni tuuu!! Sasa ukizingatia wacongo wanafanya pia kazi za home kama kufua (hadi nguo za ndani za dada zetu); kudeki nk.. dada zetu wanaona wameua ndege wawili kwa jiwe moja-FOREIGNER kapata pia shughuli za ndani zinafanyika!!
Nimesikia tu masimulizi kama haya yako ulivoyaleta hapa, nikijadili pengine naweza pia refer thread yako au vipi Ivuga?umeskia au umeonaaaaaa. huko kwingine sichangii
hashwaaaaa.mimi najua wewe hafagilii wapaka mapouuuda.Nimesikia tu masimulizi kama haya yako ulivoyaleta hapa, nikijadili pengine naweza pia refer thread yako au vipi Ivuga?
fidel ..kwa hiyo wewe mapouda na ma payum kwako mwiko? hii kali.. watoto wa mjini watakuelewa kweli?Mi napendelea binti/mama anae tumia sabuni ya kipande na mafuta bodyline basi akija ananukia nukia kwangu mwiko.
Heeeeee yamekuwa hayo tenaMimi haya mambo yashaanza nichosha kabisa
mara katerero ndo yenyewe
sasa mara wakongo ndo wenyewe
bora kutojisumbua.....
Unafanya unavyoweza....asiporidhika aende zake ......
Kutafuta pesa tuhangaike.....
Na kuwaridhisha nayo tutafute twisheni ?????
Hell no.....
Mbona mama zetu na baba zetu haikuwa hivyo??????????
Mie siwafagilii, napenda mwanaume gentleman, mweusi, sasa wao wanaona weupe dilihashwaaaaa.mimi najua wewe hafagilii wapaka mapouuuda.
siku utashangaa kavaa string yako
Fidel bwana mwanamke kunukia inaleta hamasa fulani, yaani hata ma body splash hutaki?Mi napendelea binti/mama anae tumia sabuni ya kipande na mafuta bodyline basi akija ananukia nukia kwangu mwiko.
fidel ..kwa hiyo wewe mapouda na ma payum kwako mwiko? hii kali.. watoto wa mjini watakuelewa kweli?
Fidel bwana mwanamke kunukia inaleta hamasa fulani, yaani hata ma body splash hutaki?
mnawapendea nini? vipodozi?au mnafurahia kushare parfume na sabuni? tuambieni usije kukuta ndio evolution yenyewe hiyo
Mie siwafagilii, napenda mwanaume gentleman, mweusi, sasa wao wanaona weupe dili
mwisho wa yote anataka umtunze wewe, mie mwenzangu nataka nitunzwe kwa kweli
hawa jamaa natofautiana nao sana
Mimi haya mambo yashaanza nichosha kabisa
mara katerero ndo yenyewe
sasa mara wakongo ndo wenyewe
bora kutojisumbua.....
Unafanya unavyoweza....asiporidhika aende zake ......
Kutafuta pesa tuhangaike.....
Na kuwaridhisha nayo tutafute twisheni ?????
Hell no.....
Mbona mama zetu na baba zetu haikuwa hivyo??????????
Siyo wacongo tuu!! Dada zetu foreigner yoyte anawarusha roho!!! Ulimbukeni tuuu!! Sasa ukizingatia wacongo wanafanya pia kazi za home kama kufua (hadi nguo za ndani za dada zetu); kudeki nk.. dada zetu wanaona wameua ndege wawili kwa jiwe moja-FOREIGNER kapata pia shughuli za ndani zinafanyika!!
tumeshikwa kwenyewe Shosti usiombe...mhh wanaume wanajipa matumaini masikini....