Ni dada mmoja hapa ofisini ambaye ni muwazi sana katusaidia wengi kufahamu mapungufu yetu.ilikuaje mpaka huyo dada akakwambia siri nzito hvo?
Ni dada mmoja hapa ofisini ambaye ni muwazi sana katusaidia wengi kufahamu mapungufu yetu.ilikuaje mpaka huyo dada akakwambia siri nzito hvo?
Hahahahahaa! tena kitimoto yeye hali nyama tu, nasikia breakfast yake anapewa Supu ya kichwa cha nguruwe na mikate pembeni bia 3 aina ya castle lagaKamanda mheshimiwa nimeambia anachomewa nusu mbuzi sio vinusu kilo vyetu aisee.
Huyo dada hakutegemea km mshikaji angepaform up to that extent, yeye alijua ni wakongo na watanga tu kumbe Saint Ivuga nae yumo! Hz n habari njema, congrats to mshkaji wetu wa jf!ilikuaje mpaka huyo dada akakwambia siri nzito hvo?
Teh! Wakongo wamewateka sana dada zetu duh! Alafu nasikia wanawachezea sana wale dancers wao, ni kama wake zao! Afro... My love mkongo akijipendekeza angazako namng'oa shingo! Nipende mimi tu teh!Jamanilazima watokee wasichanaWanaowapenda otherwise watakuwaLonely sana..Mmhh na wengine tunapenda wanaovaa overallAkija home anakupaka Gris usoni mmmhhh
Jamanilazima watokee wasichanaWanaowapenda otherwise watakuwaLonely sana..Mmhh na wengine tunapenda wanaovaa overallAkija home anakupaka Gris usoni mmmhhh[/QUOTEkwahiyo nije na overall langu na grease kibao ndio maana siku ile na suti hujachangamka ?
Mi nimegundua wanWake wanapenda wanamuziki na sijui ni kwanini ila hawa wakongo wanajua kuwadanganya maneno matamu matamu muda wote,sasa mkuu hayo mengine hatuwezi wengi wetu halafu wanakatika hao kitandani balaa demu yeye analala tu kusikilizia jsasa sisi si utamaduni wetu bwana viuno vyetu vigumu,na wengine hatupendi hata huko kukatikiwa na mademu sembuse men akatike?no waysmnawapendea nini? vipodozi?au mnafurahia kushare parfume na sabuni? tuambieni usije kukuta ndio evolution yenyewe hiyo
Ila wakongo kwa maneno hawajambo duh!Mi nimegundua wanWake wanapenda wanamuziki na sijui ni kwanini ila hawa wakongo wanajua kuwadanganya maneno matamu matamu muda wote,sasa mkuu hayo mengine hatuwezi wengi wetu halafu wanakatika hao kitandani balaa demu yeye analala tu kusikilizia jsasa sisi si utamaduni wetu bwana viuno vyetu vigumu,na wengine hatupendi hata huko kukatikiwa na mademu sembuse men akatike?no ways
Mkuu hata mimi huwa najiuliza swali hili sipati jibu!mnawapendea nini? vipodozi?au mnafurahia kushare parfume na sabuni? tuambieni usije kukuta ndio evolution yenyewe hiyo
Hii ni fani ya wanaume wa Tanga? Na wanaume kama mabinti nao wanapatikana wapi kwa wingi?Mi kuna dada aliniambia ukiacha wacongo wanaume wanaogusa kuta zote hapa TZ kidoogo afadhali wa Tanga.
Ndio maana yake...uwe kama unanoa kisu vile....sasa kama mwaume kitambi hicho, na mama kitambi hicho....hii kitu haiwezekani. ni kifo cha mende na kuishia kulala kama mtu amekufa....jamani vitambi noma tusidanganyane!!!Kugusa kuta zote??????????????
Ndio????????????????????????
ndio maana yake...uwe kama unanoa kisu vile....sasa kama mwaume kitambi hicho, na mama kitambi hicho....hii kitu haiwezekani. Ni kifo cha mende na kuishia kulala kama mtu amekufa....jamani vitambi noma tusidanganyane!!!
Nasikia ukiwa na mkongo unaegesha tu kimguu dirishani eti wao wanakwambia tulia nikupe mambo mtoto,kuna wadada hapa mjini huwaambii kitu mbele ya hawa watu,mie siwapendi wanavojichubua sanaWakongo wanakatika balaa kwenye game kwahiyo kinadada wanaegesha tu na kusikilizia raha hahaha ! Itabidi tuanze mazoezi lol!
Kuta zipi sasa wakati sehemu husika inajulikana???Kugusa kuta zote??????????????
Ndio????????????????????????
Mhhhhh! mkumbo gani sasa na ushaambiwa wanazungusha?Narudia tena kuonyesha msisitizo, "Dada zetu wa kibongo wengi wao ni malimbukeni ktk mapenzi" wanawapenda wakongo pasipo sababu, wanafata mikumbo tu!
Afadhali leo mnashauriana kupunguza vitambi....
umeskia au umeonaaaaaa. huko kwingine sichangiiNasikia ukiwa na mkongo unaegesha tu kimguu dirishani eti wao wanakwambia tulia nikupe mambo mtoto,kuna wadada hapa mjini huwaambii kitu mbele ya hawa watu,mie siwapendi wanavojichubua sana