Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Siyo kwamba nahisi, nimeshuhudia mwenyewe baada ya kubahatisha marembo wawili wa kimasai. Mmoja nilimuuliza kwa nini ametulia wakati mwenzie napanda mlima aliniambia eti hajazoea. Mwingine nilipomuuliza alinieleza ukweli kwamba ndivyo walivyofundwa na wakubwa wao. Eti mwanamke wa kimasai hatakiwi kumkatia mauno mumewe. Akifanya hivyo mume anaweza akapeleka mashtaka hata kwa mshenga. Eti ni uhuni. Jamani, hii ina ukweli wowote?