kiasili wanawake hawana huruma wana uchungu....na biblical wanawake wametumiwa kama lango la shetani na lango la ukombozi wanahitaji usimamizi
ingekuwa wanaume wana huruma tusingeshuhudia mauaji ya kikatili yanayotokea dunuani. nikiangalia ISIS wanavyo behead watu, nikiangalia boko haram na alshabaab wanavyochinja watu, ukiangalia crime and investigation channel mauaji yanayofanywa na wanaume, ukisikia ukatili na ubakaji wa watoto huwa najiuliza kama kuna watu huwa wanamioyo.
Binadamu tuna roho katili regardless of gender kuna wanawake wenye roho nzuri na kuna wanaume wenye roho nzuri pia so kama umekutana na mwenye roho mbaya usigeneralize watu wote.