Kwa nini wanawake huwa katili kwa watoto au ndugu wasio wao?

Mungu mwenyewe anatambua mapungufu makubwa waliyonayo wakina Hawa. na ndio maana maandiko yanatutahadharisha sana juu ya hawa watu.

Ana uafadhali kidogo mwanamke mwenye hofu ya Mungu'' ukimpata asiye na hofu ya Mungu ukatili wake simba jike atangoja yaani ni zaidi ya simba.
 
Look at this!

Newborn baby found alive at bottom of drain in Sydney suburb


The child's mother has been identified and is assisting the police investigation

A newborn baby has been found 2.5 metres down a drain in Sydney after cyclists passing by heard crying.
After pulling away the concrete drain cover they found the baby, thought to be two or three days old, lying at the bottom wrapped in a hospital blanket.
The child's mother, aged 20, has now been identified following hospital record checks and house-to-house enquiries in the Sydney suburb of Quakers Hill.
Police say she is assisting them with their investigation.

The alarm was raised by a group of cyclists riding along the bike track beside the M7 highway. They heard cries from the drain at around 7.30am on Sunday.
"It was disturbing (to see) how the child was placed in the drain," Quakers Hill duty officer Inspector David Lagats said.
"We all thought the worst but the baby was still alive."
Inspector Lagats said the boy had no signs of physical injury but was malnourished and remains in a serious but stable condition in hospital.
Police suspect the baby was squeezed through the drain's narrow opening and dropped.

Sydney has been sweltering in temperatures above 30C and it is thought the baby would not have survived much longer if he had not been found.
"That baby wouldn't have lasted an hour and a half," David Otte, one of the passers-by, told Fairfax Media.
"That baby had no chance if we and the other people hadn't been there. Something made us find that baby today."
Senior Constable Mark McAlister was one of the first officers on scene. He and a colleague helped rescue the baby.
"How could someone do it?" he told News Corp Australia.
"I, myself, have kids and we're expecting a baby in a few more months so it's not good that someone's going through this and has done this to a little one."

Source
 
Nikwel Wanawake Waliowengi Wanaroho Mbaya Japo Wapo Wenye Roho Nzuri Lakin Ukilinganisha Wenye Roho Nzuri Na Wenye Roho Mbaya Utakuta Wale Wenye Roho Mbaya Ndio Wengi Kuliko Wenye Roho Nzur
 
Mmenikumbusha machungu ya kukaa na shangazi yangu enzi hizo... Daaahhh alikuwa anazingua aseh...... Hatafuti hata senti tano vyote anatafuta anko... Lakin dahhhh shangazi alikuwa na roho mbaya mpk nikahama kimyakimya na simu nikazima kabisaaaaaaa
 
When we love, our love knows no bounds.

We protect what is ours with a passion sometimes at the cost of being deemed heartless and cruel.
kidogo unatoa mwanga. kwahiyo ule ukatili ni kuhakikisha watoto na ndugu zake wanapata mahitaji ya kutosha hakuna wa kuja kuwapunguzia?. sababu nzuri japo haibadilishi hayo matendo kutoka kuwa uchoyo na ukatili.
 
kidogo unatoa mwanga. kwahiyo ule ukatili ni kuhakikisha watoto na ndugu zake wanapata mahitaji ya kutosha hakuna wa kuja kuwapunguzia?. sababu nzuri japo haibadilishi hayo matendo kutoka kuwa uchoyo na ukatili.

I am just trying to think from a womans perspective. Ila sioni maana ya kuwa katili ama mchoyo!
 
Kuna asilimia Fulani ya wanawake yaani ni wachoyo, hasa kwenye maswala ya chakula. Nashindwa kuelewa ni kwa nini wamama wanakuwa wachoyo kwa watoto wasio wao...hasa linapokuja swala la maakuli. Nimeona na Sana kwa baadhi wa wamama ambao nimewahi kuishi nao..! Kama wangeweza kujibu hii kitu ningefurahi Sana kujua ni kwa nini wana uchoyo wa chakula????
 
I am just trying to think from a womans perspective. Ila sioni maana ya kuwa katili ama mchoyo!
umesema huwa mnakuwa deemed heartless and cruel. mi kwa experience yangu huwa mnakuwa hivyo kweli nilikuwa tu sijui kwanini. nashukuru umenipa mwanga.
 
ngoma inakuwaga tamu wakikutana wao kwa wao either na mawifi au mamamkwe huwaga hapatoshi. mashemeji wa kiume na wanaume na baba wakwe zetu huwaga amani sana.
 
Kuna asilimia Fulani ya wanawake yaani ni wachoyo, hasa kwenye maswala ya chakula. Nashindwa kuelewa ni kwa nini wamama wanakuwa wachoyo kwa watoto wasio wao...hasa linapokuja swala la maakuli. Nimeona na Sana kwa baadhi wa wamama ambao nimewahi kuishi nao..! Kama wangeweza kujibu hii kitu ningefurahi Sana kujua ni kwa nini wana uchoyo wa chakula????

Ni umaskini kama kwenu ulizoea kula mpk unamwaga, chakula hakiwezi kuwa big deal!
 
Nafikiri wanawake wote wote wana hiyo tabia hakuna wa kumpisha mwingine, hata kama ni mtoto wa ndugu yake lazima atamfanyia mbaya tu.

Live long all men
 
Ukute traffic wa kike kapewa mshtakiwa wa kike hivo atakavompeleka puta hatupendan sisi hatupendani ugomvi kidogo mnuno mwaka wanaume wakigombana.hata round hawachukui tayar washawekana.sawa sie kina amina mama we tuna.roho za husda chuki fitna uhasama

Ila we huna hii roho aisee... na declare interest
 
kiasili wanawake hawana huruma wana uchungu....na biblical wanawake wametumiwa kama lango la shetani na lango la ukombozi wanahitaji usimamizi
 
Back
Top Bottom