,,,,,,,,Jisachi
hahahahahah ni kweli wakati mwingine maelezo yanakwenda sambamba na picha! kama ipo tafadhali...
,,,,,,,,Jisachi
OMG! Hebu twende PM kwanza tutete kidogo.............:closed_2:
Kijiji cha Katelero ni maarufu kwa mechi za kirafiki hasa kwa mtindo wa katelero[COLOR=red said:katelero[/COLOR];985487]nikiomba mechi ya kirafiki utakubali
Kijiji cha Katelero ni maarufu kwa mechi za kirafiki hasa kwa mtindo wa katelero
Wako wengine wanapenda kuvaa Trikini.siku hizi wanawake wengi hupenda kuavaa bikini sana ni kwa nini au zanamvuto kwa wanaume?
iwe tata
Wako wengine wanapenda kuvaa Trikini.
Jina la mtu mala nyingi kama sio zote, urandana na tabia yake, jitahidi kupiga katelero kwa kwenda mbele, vunja mifupa wakati meno ipo, utakuja juta ukisha poteza muda virunga wawa virunga wawawa wawa
hazifuniki nini?Sasa siwaache kuvaa maana nikamba tu maana na kwenye mouse napenyewe sikuhizi zimetengenezwa hazifuniki!!Bora waachetu!!
inakuumiza wapi?:A S tongue:hilo nalo neno.
marafiki zangu wanavaa ilaa mimi zimenishinda kabisa, sijui ndo ushamba huo!? huwa nahisi inaniumiza
unapata hewa ukivaa suruali au nguo ya kushika mistari ya chupi haionekani, u look sexy, na mengine ctayataja, binafsi nimeizoeatupe experience yako kulinganisha na chupi za kawaida,maanake wengine wamesema hawapendi ZINAWAPEKECHA maeneo fulani........
unapata hewa ukivaa suruali au nguo ya kushika mistari ya chupi haionekani, u look sexy, na mengine ctayataja, binafsi nimeizoea
sasa hizo bikini si ni swim-wear? au ?