RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,834
siku hizi wanawake wengi hupenda kuavaa bikini sana ni kwa nini au zanamvuto kwa wanaume?
samahani mkuu,naona ulikuwa una maanisha THONG au G-STRING,kwasababu BIKINI ni womens swim suit ambayo ni 2 parts,moja inakava matiti na part ingine inakava makalio[yote au sehemu ya makalio],na huwa inaacha wazi sehemu ya kati yaani tumbo.
kwa kifupi BIKINI ni swim wear na G-STRING au THONG ni underwear.
hii ndio bikini(sidiria+kichupi)