Nailyne
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 350
- 111
hivi kwa nini wanaume wengi ni wagumu kukiri udhaifu, makosa au kukabali kuwa kuna vitu hawavijui mbele ya mwanawake?, nimeona kwenye mahusiano huko ndio balaa,inahitaji hekima kumwambia mwanaume amekosea, au hicho anachokifahamu hakipo kama anavyodhania,na kama amekosea ndio kabisa hadi aje akubali kosa itachukua karne...,is it about man's ego ama? ( sio wote lakini)