Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Hawa wenye uwezo wa kuwazaa hawa mabinti 45 n above
udhalilishaji/tamaa zinawasumbua, hivi mabab wa 45+ hujickii aibu kuvua nguo mbele ya binti wa 17yrs? watu wamechunwa ngozi za usokweli, haibu wameziacha msalani.