Mimi hata wakinijua hawatanifanya kitu
Uzuri ni kwamba hizo namba hazibaki kwenye karatasi unayokwenda kutia tiki. Hakuna mtu anaweza kujua kura fulani ilipigwa na fulani.
Hofu yangu mimi ni yale majina yanayobaki kutokana na wahusika kutokufika kupiga kura. Yanapelekwa wapi? Hayapigishwi?
Nadhani hakuna hofu hapo. Kwani karatasi za kupigia kura hazina namba.
Lakini picha na majina vina namba.
(si unakumbuka ukiingia kwenye chumba kwanza unakutana na mtu anayekuomba kitambulisho na kuhakiki kama ni wewe kweli kwa ku-compare na karatasi zake za picha na ID?).
Naomba tuwekane sawa hapo.
Hilo ni sawa. Kumbuka ile namba wanayorekodi inabaki kwenye kishina tu na sio kwenye zile karatasi unazopewa kwenda kuweka tick! Wanaweza kujua nani kapiga kura na nani hajapiga, lakini hakuna anayeweza kujua wewe umempigia nani kura yako.
Hilo ni sawa. Kumbuka ile namba wanayorekodi inabaki kwenye kishina tu na sio kwenye zile karatasi unazopewa kwenda kuweka tick! Wanaweza kujua nani kapiga kura na nani hajapiga, lakini hakuna anayeweza kujua wewe umempigia nani kura yako.
Hakuna muda wa kufanya kazi hiyo...Kama vituo vinafungwa saa 12, ni saa ngapi watafanya kazi hiyo, pia hata kama wakijaribisha, watafanikiwa kuongeza kura ngapi?Uzuri ni kwamba hizo namba hazibaki kwenye karatasi unayokwenda kutia tiki. Hakuna mtu anaweza kujua kura fulani ilipigwa na fulani.
Hofu yangu mimi ni yale majina yanayobaki kutokana na wahusika kutokufika kupiga kura. Yanapelekwa wapi? Hayapigishwi?
Nadhani hapo imeeleweka.
Imekula kwako mama yangu mzazi.Mimi nimekagua na kuhakikisha kuwa hizo namba hazibaki kwenye karatasi unayokwenda kutia tiki. Hii ina maana kuwa hakuna mtu anaweza kujua kura fulani ilipigwa na fulani, unless kama namba zimewekwa kwa water mark ambayo kuijua ni mbaka uiangalie hiyo karatasi kupitia kwenye mwanga!!.
Imekula kwako mama yangu mzazi.
Ile namba inayobakia kwenye register ina reg. namba ya voting paper hivyo ni rahisi kuverify nani kampigia nani kwa kuoanisha namba ya kura na ya kitini.
umecheki eeeh!!??? niliwaambia Lewis na Kiravu ni WANGA wetu mkakataa