comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,939
Tatizo Sizonje anadhani anamkomoa mbowe na cdm kwa kuwa karibu na kupata "semina elekezi" ya jinsi ya "kuongoza nchi" kutoka kwa kagame.
Kikwete hakuwa mjinga.
Sasa yeye hadi "jumba jeupe" kaweka askari wa rwanda wamlinde badala ya askari wa kitanzania.
Na kagame alivyo shetani anajifanya kujenga urafiki na sizonje huku anammaliza taratibu.
Sizonje atakuja shtuka ashawekwa kando, atabakia kuwa "rubber stamp" ya kagame.
Mmh hii kali xana kama ni kweli