Kwanini Wanajeshi wa Tanzania wanashambuliwa DRC?

Kituko

JF-Expert Member
Jan 12, 2009
9,555
9,330
Kwa kweli naongea kwa masikitiko makubwa sana, hivi kweli Wacongo wanaweza kuwauwa Watanzania kama hivi?, jibu ni BIG NO, Watamzania tunaheshima kubwa sana Congo, sisi ndio ndugu wa damu pekee kwa waCongoMan, nimezunguka Congo, hasa niseme East Congo, Nord Congo na Katanga province, kote huko (naomba niongee kicongo) Batanzanie ni batu ba kuheshimika sana,
Sio rahisi kwa mcongoman kumuua Mtanzania, Nasema hivyo kwa ushahidi wa 100% haiwezekani, hata hao watu wa Maimai chini ya Jean Kutumba aliyepo Ubembe kamwe hawezi kumuua Mtanzania, au kwa Raia Mtomboki aliyepo Urega, Shabunda, Mtanzania ni mtu wa thamani sana DRC

KITENDO CHA WATANZANIA KUWA KARIBU NA RWANDA (TUTSI) NDIO TUMEJICHIMBIA KABURI KUBWA SANA. KAMWE HATUWEZI KUWA SALAMA DRC,
Mision yetu ya kwanza tuliyokuwa nayo Congo sio tuliyonayo yo sasa (back door)"
Kamwe hatuwezi kuwa salama

Uncle kwa Siasa zako za East Africa unazoziendesha ni Bora kuwarudisha vijana wetu Nyumbani, nje ya hapo kwa kweli tutalia sana, Uncle unamapungufu makubwa sana kwenye Uelewa wako wa siasa za East and Central Africa, hasa Tutsi wakiwa main subject

Sina mengi, mods mkiamua kuufuata huu uzi sawa, lakini ntakuja na detailz za siasa za Tanzania, Rwanda, DRC na wapi tunakosea

CC: Nguruvi3 , JokaKuu , Mag3 , Pascal Mayalla
 
ADF ni islamist group wanaofata itikadi kama za boko haram,IS na makundi mengine yanamna hiyo
 
Ni kweli inasikitisha ila kwenye zoezi la peace keeping in military level automatically kutakuwa na watu wa kuumia na hata vifo....so tuamue tu kujitoa kwenye zoezi au tuendelee....tukiendelea lazima tukubaliane na yote maana sio kila siku utakuwa unapiga tu, lazima kuna siku utapigwa na wewe then utaumia au hata kupoteza maisha.
 
Mimi bado naamini Rwanda wanafanya kila njia kuhakikisha majeshi yetu yanaondoka Kongo.Baada ya M23 kufurumshwa yale majeshi ya Rwanda kwa mgongo wa M23 bila shaka wanatumia waasi wengine lakini kwa minajili ya kulipiza kisasi.maana bila jeshi letu Rwanda bado wangekuwa Kongo kuvuna rasilimali za huko.Tuwe macho na Rwanda si watu wazuri hata kidogo kwenye ukanda huu.
 
Kwakweli hata mimi nmesikitishwa sana
vijana 14 vi wengi sana... msiba huu ni mzito sana
Haaaaaaaaaa ,,, achen izi mambo.

Askar kazi yake nikutetea maslah ya nchi mpaka kufa ,,ndo maana tunawazika kishujaaa .

Hao hawana tofauti nawalokufa vita ya kagera .
Soooooooo tuwape hongera kwakutoa maisha yao ili kuhakikisha wenzetu wakongo wana aman .


Naukitaka kujua maana ya majeshi nin ,,Subiri tumalize maziko ya hawa ndugu zetu ....siunakumbuka M23 ??
 
Haaaaaaaaaa ,,, achen izi mambo.

Askar kazi yake nikutetea maslah ya nchi mpaka kufa ,,ndo maana tunawazika kishujaaa .

Hao hawana tofauti nawalokufa vita ya kagera .
Soooooooo tuwape hongera kwakutoa maisha yao ili kuhakikisha wenzetu wakongo wana aman .


Naukitaka kujua maana ya majeshi nin ,,Subiri tumalize maziko ya hawa ndugu zetu ....siunakumbuka M23 ??
am very Sad...
 
Mimi bado naamini Rwanda wanafanya kila njia kuhakikisha majeshi yetu yanaondoka Kongo.Baada ya M23 kufurumshwa yale majeshi ya Rwanda kwa mgongo wa M23 bila shaka wanatumia waasi wengine lakini kwa minajili ya kulipiza kisasi.maana bila jeshi letu Rwanda bado wangekuwa Kongo kuvuna rasilimali za huko.Tuwe macho na Rwanda si watu wazuri hata kidogo kwenye ukanda huu.

Hata hapa nilipo kuna mmoja lakini mwenye wasiwasi mkubwa na kalenda yake imechanika kabisa anajuta kujificha na anahema sana hahahaha
 
Back
Top Bottom