Tulia mnyolewe!!
Ukawa watakuwa wanachakachua kura..! Si bure...
Ina maana wanaotangazwa washindi kwa sasa ni UKAWA tu? Kwamba CCM walitangazwa kwa wakati kwa mujibu wa nyumbu!!!
Mijitu jinga km nyie ndio mnaotumiwa na ccm kufanya ghiliba wakat familia zenu choka mbaya.....hujaelewa swali wala kufanya comparative analysis ya utoaji wa matokeo.
Kilindi wamekosea angalia hata percentage yake chauma na chadema ccm bwana wanaiba hadi watoto wadogo wanajua humu mitaani sasa kama ni wezi #very sadSwali langu,mbona majimbo yote waliyoshinda wapinzani kura zinazotangazwa na NEC kuwa ziliharibika ni nyingi sana ukilinganisha na yale ya CCM?Hivi Kilindi wapiga kura zaidi ya elfu arobaini haijaharibika hata moja?