Kingcobra
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,000
- 309
Ndugu zangu,
Inasemekana kuwa ni rahisi sana kwa mwanaume aliyeoa kumshawishi hawala yake wafanyie mapenzi nyumbani kwa mwanaume kuliko mwanamke aliyeolewa kumshawishi hawala yake wafanyie mapenzi nyumbani kwa mwanamke. Inasemekana pia kwamba mwanamke akishawishika hujisahau kiasi cha kuvaa hata kanga na ndala za mke wa mwanaume na kutoka navyo nje asubuhi bila wasiwasi hatua ambayo ni ngumu sana kuifikia mwanaume. Eti wanaume wakati wote akili zao akili huwa zinawaza fumanizi.
Jamani, kuna ukweli wowote kuhusu hoja hii?
Inasemekana kuwa ni rahisi sana kwa mwanaume aliyeoa kumshawishi hawala yake wafanyie mapenzi nyumbani kwa mwanaume kuliko mwanamke aliyeolewa kumshawishi hawala yake wafanyie mapenzi nyumbani kwa mwanamke. Inasemekana pia kwamba mwanamke akishawishika hujisahau kiasi cha kuvaa hata kanga na ndala za mke wa mwanaume na kutoka navyo nje asubuhi bila wasiwasi hatua ambayo ni ngumu sana kuifikia mwanaume. Eti wanaume wakati wote akili zao akili huwa zinawaza fumanizi.
Jamani, kuna ukweli wowote kuhusu hoja hii?