Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
Nimetafakari matukio ya mauaji na majeruhi yanayotokea katika mikutano na harakati nyingi za CHADEMA na kubaini kuwa mara nyingi wahanga wakuu ni wale wenye majina ya Kiislamu. Ebu tuangalie katika matuki machache yafuatayo:
Maandamano ya CHADEMA Morogoro-Marehemu Ally Zona
Maandamano ya CHADEMA Arusha January, 11-Marehemu Ismail Omari (37) na wengineo
Mkutano wa CHADEMA Arusha June, 13-Sharifa Jumainne (mahututi), Abubakar Adam (majeruhi), Fahad (miaka 7, majeruhi), Ramadhani Juma (Marehemu), Amir Ally (marehemu)
Viongozi wa kisiasa waliokamatwa na kuswekwa ndani katika tukio la jana Soweto-Makamu mwenyekiti wa CHADEMA bara, Mzee Said Amour Arfi, Mustafa Akonay (Mbulu)
Maandamano ya CHADEMA Morogoro-Marehemu Ally Zona
Maandamano ya CHADEMA Arusha January, 11-Marehemu Ismail Omari (37) na wengineo
Mkutano wa CHADEMA Arusha June, 13-Sharifa Jumainne (mahututi), Abubakar Adam (majeruhi), Fahad (miaka 7, majeruhi), Ramadhani Juma (Marehemu), Amir Ally (marehemu)
Viongozi wa kisiasa waliokamatwa na kuswekwa ndani katika tukio la jana Soweto-Makamu mwenyekiti wa CHADEMA bara, Mzee Said Amour Arfi, Mustafa Akonay (Mbulu)