Oii
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 3,930
- 3,129
Wewe ndio hujui sasa, alafu unaandika as if you're an expert, wabongo bhana.Usilete story za kutunga ,eti siyo waingereza ,yaani umesoma kitabu kilichoandikwa na wanaopinga ufalme wa UK.
Halafu ww ni mbumbumbu mkubwa sana,malkia ana jeshi lake,royal army na jeshi la UK pia,hana sauti kama magufuli Tanzania,wenye sauti ni waingereza wote kupitia kwa waziri mkuu waliyemchagua kidemokrasia,sijui nikuambieje wewe pimbi uelewe.