Kwa nini wadada mkipewa lifti, mnatoa namba hata kama hamjaombwa?

Siyo kila anayetoa lifti ana nia njema hata wanaopokea lifti.. Huwa nawazia sana usalama wangu, sipandi lifti za watu nisiowajua hata radi iwe inapiga vipi..watu wamezidi ukatili siku hizi!
 
Wadada wa dot com hawana maana, anaanzia mbali kujua unajishughulisha na nini and by then anajifanya anashida na unachofanya kama mteja au ana ofis yao watakuwa wateja ili tu atoe namba au apate ya kwako, na mikpeana tu balaa as unajua wanaume hatuna ujanja kwa warembo, mnachokera ni ving,ang,anizi tu mda wa kuachana ukifika, maana tukiexchange contacts kinachofata urafiki hapo sasa ndo balaa linapoanza katika urafiki wa kijana wa kike na kiume wanaoanza maisha

Take my advise usitoe lifti tena kwa mdada, weka gari tinted pita kama huoni vile.

 
Habari zenu warembo wote wa jamii forums, kwa muda mrefu nimekutana na hili jambo, kama mnavyojua mjini usafiri shida hasa mida ya kwenda vibaruani, so unapomsaidia mtu lifti hasa mdada unakuta akifika ofisini kwake/ college anafosi umuombe namba (direct or indirect) hata kama haukuwa na interest nae, na katika stories na vijana wenzangu kibaruani wengi wamekutana na that situation,,, Warembo tupeni majibu jamvini hii inakuaje?

I don't think so...

Ukiacha kina dada powa ambao wako kazini hasa nyakati za usiku.. wale wengine..hawaanzi kutoa namba za simu.. Mwanaume ndio wanaanza kuomba namba za simu na kuwanyanyapaa kwa kigezo cha usafiri.. Jaribu kuuchuna kuomba hiyo namba ya simu uone kama utapewa.. hata kama alipenda iwe hivyo..

Ni umasikini wetu sisi watanzania ndio unawafanya wanadada wengi wawe cheap... na kugeuza mapenzi kuwa sehemu ya kujikimu na kupunguza makali ya maisha..
 
Hizi topic za magari huwa sielewi jambo moja... Hao wanawake huwa wanaomba au nyie madereva mnasimama wenyewe?
 
Wadada nadhani wanapenda kuangalia vile tunavyonyonga nyonga usukani...sasa wanajaribu kufikiria "gari anaendesha hivi, je ..."
 
Back
Top Bottom