Kwa nini wadada mkipewa lifti, mnatoa namba hata kama hamjaombwa?

MKATA KIU

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
2,854
6,209
Habari zenu warembo wote wa jamii forums, kwa muda mrefu nimekutana na hili jambo, kama mnavyojua mjini usafiri shida hasa mida ya kwenda vibaruani, so unapomsaidia mtu lifti hasa mdada unakuta akifika ofisini kwake/ college anafosi umuombe namba (direct or indirect) hata kama haukuwa na interest nae, na katika stories na vijana wenzangu kibaruani wengi wamekutana na that situation,,, Warembo tupeni majibu jamvini hii inakuaje?
 
Wengine huenda mbali.............atarekebisha siti......ataongeza AC........Atakunjua light shades ajiangalie kwenye kioo........atapungia nje....basi balaa tupu
 
Wengine wanakuwa kibiashara zaidi,so anakuvuta karibu ili uwe mteja wake.
 
Imagine unaishi Mbagala halafu unatumia usafiri wako binafsi.Phonebook yako yote itajaa majina ya wavaa sket tu,na gari yako itabadilika na kuwa LADIES STAFF CAR.Ukiwa unapenda totoz utawabadilisha kama nguo. Kama unabisha hamia Mbagala.
 
Siku nyingine ukikwama usafiri unaangalia kama kuna uwezekano wa msaada wa lift tena na si vinginevyo...
 
waulizeni bana,
tena wadada wenyewe ni wagumu sana kutoa lift, sijui kwa nini.
 
mwanamke ni mwanamke tuuu!! wote wanafanana, labda wametofautiana kuongea tuu!! wngine wananongea saaaana, wengien sio waongeaji lakini mambo mengi yanashabihiana.
 
na kwani ni lazima utoe hiyo namba?? una hiari ya kukataa au kukubali the same na kwenye lift!
 
Back
Top Bottom